DKT SHEIN AHIMIZA WANAFUNZI KUKAZANIA MASOMO
WANAFUNZI Zanzibar wametakiwa kukazania masomo kwa ajili ya kujijenga maisha ya baadaye badala ya kufanya mambo yasiyoendana na umri na mila zao.
Hayo yalisema na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza…
