Leo Ndiyo Leo Nay wa Mitego, Barnaba Kukinukisha Dar Live
BAADA ya kuliamsha dude katika shoo ya bure jana ndani ya Viwanja vya Karume jijini Dar, Mkali wa Ngoma ya Wapo, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ anatarajiwa kuungana na mastaa kibao katika bonge la shoo linalotambulika kama Wapo…
