Mtihani Darasa la 7, DED Aagiza Kuvunja Makundi Yote WhatsApp
Halmashauri ya Wilaya ya Chemba mkoani Dodoma imevunja makundi yote ya ‘WhatsApp’ ya waratibu elimu msingi ili kuepuka udanganyifu katika mitihani ya darasa la saba inayofanyika kesho na keshokutwa.
Katika barua hiyo iliyoandikwa kwa…
