Watuhumiwa Wenzake na Sabaya Waachiwa Huru, Mwenyewe Abaki Gerezani
WATUHUMIWA wanne katika kesi namba mbili ya mwaka 2022 ya uhujumu uchumi inayomkabili aliyekua Mkuu wa Wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya, wameachiliwa huru, baada ya kuandika barua ofisi ya DPP ya kuomba wakae meza ya makubaliano ili…
