Ufaransa Yazungumzia Tukio la Mauaji Dar
Wizara ya Mambo ya nje nchini Ufaransa inasema, mpaka sasa hakuna kinachoashiria kuwa makabiliano ya risasi siku ya Jumatano kati ya maafisa wa polisi na mtu aliyekuwa amejihami kwa bunduki nje ya ubaozi wake jijini Dar es Salaam nchini…
