Diafra Sakho Nje ya Uwanja Wiki Sita
Mshambuliaji wa Klabu ya West Ham United na Timu ya Taifa ya Senegal, Diafra Sakho atakua nje ya uwanja kwa muda wa wiki sita kwa sababu ya maumivu ya paja. Sakho mwenye umri wa miaka 26, alitolewa uwanja dakika ya 66, katika mchezo wa…
