Jackline Asisitiza ‘Mzee Mengi Hakuwa Mwendawazimu’
MJANE wa Marehemu Reginald Mengi, Jackline Ntuyabaliwe ameonesha kutorodhika na uamuzi wa Mahakama Kuu ya Tanzania kuhusu wasimamizi wa mirathi ya mali alizoacha marehemu mumewe.
Aliandika katika mtandao wake wa Instagram:…
