×

Tag: kenyatta

RAIS MAGUFULI, KENYATTA, MUSEVENI WAKUTANA ARUSHA – PICHAZ

                Picha na Ikulu 

READ MORE

Huddah: Kenyatta Halalisha Bangi

MSANII maarufu nchini Kenya, Huddah Monroe ‘amerusha kombora’ kwa Rais wa nchi hiyo, Uhuru Kenyatta,  akimtaka kuhalalisha matumizi ya madawa...

READ MORE

MV NYERERE: JPM APOKEA RAMBIRAMBI SH. 125M KUTOKA KWA RAIS KENYATTA

Rais John Magufuli amepokea hundi ya shilingi milioni 125 kutoka kwa Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta ambayo iliwasilishwa na Balozi...

READ MORE

PICHA: Uhuru Kenyatta Akutana na Trump Ikulu ya Marekani

RAIS Donald Trump wa Marekani amekutana na mwezake wa Kenya Uhuru Kenyatta mjini Washington na kuzungumzia masuala mbalimbali, zaidi wakiangazia...

READ MORE

Mahakama Kenya Yazuia Matumizi ya Vifungu vya Sheria ya Mitandao

NAIROBI (Reuters) – Sheria mpya ya makosa ya mtandao imeanza kufanya kazi nchini Kenya jana (Jumatano), lakini ikiwa haikupiga marufuku...

READ MORE

KAMATI YAMTAKA KENYATTA ASISASINI SHERIA YA MTANDAO

KAMATI ya kutetea wanahabari nchini Kenya, imemuomba Rais Kenyatta asiusaini muswada wa sheria ya makosa ya kimtandao ya mwaka 2017...

READ MORE

KENYA YAONGEZA MISHAHARA KWA WATUMISHI

SERIKALI ya Kenya imetangaza ongezeko la asilimia 5 kwa kima cha chini cha mshahara ili kuwalinda wafanyakazi na mfumuko wa...

READ MORE

Rais Kenyatta Asaini Sheria ya Pedi Bure kwa Wanafunzi

RAIS wa Kenya, Uhuru Kenyatta amesaini muswada wa sheria mpya ambayo sasa itakuwa sheria kamili, inayoitaka serikali kugawa pedi bure...

READ MORE

Rais Kenyatta, Odinga Waahidi Kuwaunganisha Wakenya

RAIS wa Kenya Uhuru Kenyatta amekutana na kiongozi wa muungano wa upinzani nchini humo, Raila Odinga, katika ofisi yake ya...

READ MORE

Aliyemuapisha Odinga Atimuliwa Kenya

MWANASHERIA maarufu wa nchini Kenya Miguna Miguna aliyemuapisha Raila Odinga, amefukuzwa nchini Kenya (deported) na kupelekwa Canada, chini ya uangalizi...

READ MORE

Mbunge na Mwanasheria Aliyemwapisha Odinga Atiwa Mbaroni

  JESHI la Polisi nchini Kenya, leo Januari 31, 2018 mchana limemtia mbaroni mbunge wa Jimbo la Ruaraka, Tom J...

READ MORE

Serikali Kenya Yamlinganisha Odinga na Alshabaab, Al Qaeda

Serikali ya Kenya kupitia kwa Waziri wa Usalama, Dkt Fred Matiang’i,  imelipiga marufuku kundi la National Resistance Movement (NRM) lililo...

READ MORE

Raila Odinga Ajiapisha Kuwa ‘Rais wa Wananchi wa Kenya’

KIONGOZI wa upinzani Raila Odinga (NASA) ameapishwa kuwa ‘Rais wa Wananchi’ wa Kenya licha ya kugomea uchaguzi mkuu wa marudio...

READ MORE

Trump Ampa Mwaliko Kenyatta

SERIKALI ya Kenya chini ya Rais Uhuru Kenyatta imepokea mwaliko kutoka nchini Marekani kuhudhuria katika hafla ya kuwashukuru kwa kuendeleza...

READ MORE

Uhuru Kenyatta Amwandikia Barua Rais Magufuli

RAIS Uhuru Kenyatta wa Kenya amemuandikia barua Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, kupinga kitendo...

READ MORE

Vurugu Zatanda Kenyatta Akiapishwa, Polisi Wafunga Mtaa Kuzuia Mkutano wa NASA

MTAA wa Jacaranda jijini Nairobi, Kenya, leo umefungwa na polisi ili kuzuia mkutano wa umoja wa vyama vya upinzani nchini...

READ MORE

Biblia ya Kenyatta Yatumiwa Kumwapisha Uhuru

KATIKA hafla ya kuapishwa kwa Rais wa Kenya na Makamu wake, imeelezwa kuwa, nakala ya Biblia iliyotumiwa kumwapisha Rais Uhuru...

READ MORE

Samia Suluhu Amwakilisha JPM Kuapishwa kwa Kenyatta

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan leo asubuhi tarehe 28 Novemba, 2017 amewasili...

READ MORE

Breaking News: Mahakama Kenya Yaidhinishwa Ushindi wa Kenyatta (Video)

 Ekuru Aukot: Tumefurahishwa na uamuzi wa Mahakama Mmoja wa waliogombea urais nchini Kenya, Ekuru Aukot,  amesema amefurahishwa na uamuzi...

READ MORE

Siku 1 Kabla ya Uchaguzi, Rais Kenyatta Atakiwa Kutii Haya

RAIS wa Kenya, Uhuru Kenyatta, ameombwa kutia sahihi mara moja Miswada ya (Marekebisho) wa Sheria ya Uchaguzi inayohusu uchaguzi ulipoangwa...

READ MORE

Uchaguzi Kenya: Odinga Mbishi, Kenyatta Mbabe

KIONGOZI wa Umoja wa Muungano wa Upinzani nchini Kenya (NASA), Raila Odinga amesema wafuasi wake watafanya maandamano makubwa zaidi siku...

READ MORE

Uchaguzi wa Rais Kenya Wapigwa Kalenda

TUME Huru ya Uchaguzi na Mipaka ya Kenya (IEBC), imebadilisha tarehe ya kufanyika uchaguzi wa marudio wa Urais ambao sasa utafanyika...

READ MORE

Uchaguzi wa Rais Kenya Huenda Ukaahirishwa

UCHAGUZI wa marudio wa urais nchini Kenya huenda ukaahirishwa kutoka tarehe 17 mwezi ujao. Tume ya Uchaguzi na Mipaka, IEBC,...

READ MORE

Mbunge Ataka Jaji Mkuu Aondolewe kwa Kufuta Uchaguzi wa Rais

MBUNGE wa umoja wa kisiasa wa Jubilee nchini Kenya amewasilisha muswada bungeni akiitaka Mahakama Kuu nchini humo kumwondoa madarakani Jaji...

READ MORE

LIVE: Matukio Yote Mahakama Kuu Ilivyofuta Uchaguzi Kenya

KUFUATIA Mahakama Kuu nchini Kenya kuyafuta matokeo ya Uchaguzi wa Rais yaliyompa ushindi Uhuru Kenyatta kutokana na kile kilichobainika kuwa...

READ MORE

LIVE: KENYATTA AHUTUBIA TAIFA BAADA YA UCHAGUZI KUFUTWA

IKIWA ni saa 5 baada ya Mahakama Kuu nchini Kenya kufuta matokeo ya Uchaguzi wa rais yaliyompa ushindi Uhuru Kenyatta...

READ MORE

LIVE: HOTUBA YA ODINGA BAADA YA UCHAGUZI KUFUTWA

Kiongozi wa Upinzani Kenya Raila Odinga amesema uamuzi wa mahakama wa kufuta matokeo ya uchaguzi wa urais yanaashiria mwanzo wa...

READ MORE

Lissu, Zitto, Bashe Wafunguka Matokeo ya Urais Kenya Kufutwa

KUFUATIA Mahakama Kuu nchini Kenya kuyafuta matokeo ya Urais yaliyompa ushindi Uhuru Kenyatta kutokana na kile kilichobainika kuwa uchaguzi huo...

READ MORE

LIVE: Mahakama Kuu Kenya Yafuta Matokeo ya Urais, Yaamuru Urudiwe

UCHAGUZI KENYA: Mahakama Kuu imefuta matokeo ya uchaguzi wa urais wa nchi hiyo yaliyompa ushindi Uhuru Kenyatta. Imeamuru uchaguzi urudiwe...

READ MORE

Kesi ya Kupinga Ushindi wa Kenyatta Yaanza Kusikilizwa Kenya

  Mahakama Kuu nchini Kenya imeanza kusikiliza kesi ya kupinga ushindi wa Rais wa Kenya,Uhuru Kenyata, iliyotakiwa kuanza kusikilizwa jana....

READ MORE

Msimamo wa Raila Odinga Kujulikana

  Kiongozi wa upinzani nchini Kenya Raila Odinga, leo anatarajiwa kuwaeleza wafuasi wake mwelekeo atakaochukua baada ya kutangaza kuwa hatambui ushindi...

READ MORE

Agosti 13, Siku ya Watu Wanaotumia Mkono wa Kushoto, Haya ni Maajabu Yao

Watu wengi duniani hutumia mkono wa kulia kwa shughuli nyingi na si ajabu kwamba vitu vingi huundwa kwa kuwafikiria wanaotumia...

READ MORE

Kenyatta: Nawashukuru Wananchi Kwa Kuwa Na Imani Nami (Video)

Rais Uhuru Kenyatta, akihutubia baada ya kutangazwa mshindi wa urais  wa Kenya, amewashukuru wananchi kwa kuwa na imani naye na...

READ MORE

Rais Magufuli, Kagame na Museveni Wampongeza Uhuru Kenyatta

  Rais wa Tanzania, John Pombe Magufuli amempongeza Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta kufuatia ushindi wake katika uchaguzi wa urais...

READ MORE

CHONDECHONDE WAKENYA, VIBAYA HIVYOO!

WAKENYA katika matabaka mawili tofauti wameandamana barabarani! Tabaka la kwanza ni lile la raia wa kawaida, hawa wanayapinga matokeo ya...

READ MORE

FUATILIA LIVE Yanayojiri Kwenye Uchaguzi Mkuu wa Kenya

  IKIWA ni Agosti 8, 2017, takribani Wakenya milioni 19 wanatarajia kupiga kura kuwachagua rais, magavana wa kaunti, wabunge, maseneta,...

READ MORE

Kituo cha Kuhesabia Kura cha Upinzani Kenya Chavamiwa

IKIWA ni siku tatu kabla ya uchaguzi mkuu kufanyika nchini Kenya, Muungano wa Upinzani (NASA) umeishutumu serikali kuwa imevamia moja...

READ MORE

Hii Ndiyo Sababu ya Lowassa Kumpigia Debe Kenyatta

Zikiwa zimebaki siku mbili nchi ya Kenya kufanya Uchaguzi Mkuu, Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA, Edward Lowassa amefunguka sababu...

READ MORE

Kenya Imepiga Marufuku Gesi ya Kupikia ya Tanzania Kuingizwa Nchini Humo

Wizara ya Nishati ya Kenya imepiga marufuku gesi ya kupikia kutoka Tanzania kuingia nchini humo. Tamko la Katibu Mkuu wa...

READ MORE