×

Tag: Kigoma

Watu Tisa Wakamatwa na Viungo vya Binadamu Mkoani Kigoma

JESHI LA POLISI mkoani Kigoma imewatia mbaroni watu tisa wakituhumiwa kujihusisha na usafirishaji na uuzaji wa viungo vinavyohisiwa kuwa ni...

READ MORE

Makamu wa Rais Awasili Kigoma Kuhudhuria Msiba ya Askofu Katale

MAKAMU WA RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk, Philip Mpango amewasili mkoani Kigoma kwa ajili ya kuhudhuria msiba...

READ MORE

Huduma za TIC Mpaka Kasulu,Kigoma

Meneja wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania Kanda za Nyanda za Juu Kusini Bw. Venancy Mashiba, amesema Kituo hicho kimefanya tafiti...

READ MORE

Kigoma: Mzee Aliyetoka Arusha Hadi Kigoma Kwa Baiskeli Atabiri -Video

 Katika mchezo wa Fainali ya Kombe la Shirikisho la Azam (ASFC) kati ya Simba dhidi ya Yanga inayotarajiwa kupigwa...

READ MORE

Yanga Yapokelewa Kifalme Kigoma – (Picha +Video)

Kikosi cha Yanga kimetua salama Kigoma leo Julai 22, 2021 tayari kwa maandalizi ya mchezo wao wa fainali ya  Kombe...

READ MORE

Kavejuru CCM Ashinda Ubunge Buhigwe

Felix Kavejuru (CCM) ametangazwa mshindi katika uchaguzi mdogo wa ubunge jimbo la Buhigwe uliofanyika jana Jumapili Mei 16, 2021.  ...

READ MORE

Watoto 2 Familia Moja Wafariki kwa Moto, Wazazi Watokomea!

WATOTO wawili wa familia moja wamefariki dunia katika kijiji cha Nyarugisu wilayani Kasulu mkoani Kigoma, baada ya nyumba waliyokuwa wakiishi...

READ MORE

Mwanamke Ajifungua Kuku Kigoma

MWANAMKE mmoja wilayani Uvinza mkoani Kigoma, amejifungua kuku katika kituo cha Afya Uvinza baada ya kufika kituoni hapo akidai anapata...

READ MORE

Lissu, Magufuli Kukutana Kigoma

TUNDU Lissu, mgombea urais wa Tanzania kupitia chama kikuu cha upinzani nchini, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) atakuwa leo,...

READ MORE

Video: Rais JPM Ampigia Simu Mondi Laivu Stejini “Mwanaume”

 MSANII wa kizazi kipya hapa nchini Naseeb Abdul maarufu kwa jina la Diamond Platinumz usiku wa jana alikuwa akitumbuiza...

READ MORE

Dianmond Kufanya Kufuru ya Funga Mwaka!

    HII ni zaidi ya shoo ya kufunga mwaka! Ukiachana na shoo yake kukusanya mastaa wengi kuliko, siri ya...

READ MORE

Kabwili Apiga Mtu Ngumi, Apewa Nyekundu, Ngassa Golini – Video

Baada kipa wa Yanga, Ramadhani Kabwili kupigwa kadi nyekundu kufuatia kitendo cha kumpiga ngumi mchezaji wa timu pinzani ya Mnanila...

READ MORE

Mwalimu Mtuhumiwa Kumpa Mimba Denti Aachiwa Tena

MAHAKAMA ya Hakimu Kazi Mkoa wa Kigoma, imemwachilia huru kwa mara nyingine Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Nyantore, katika...

READ MORE

UBAKAJI WANAWAKE USIKU… TELEZA WA KIGOMA NI ZAIDI YA POPOBAWA!

ACHANA na habari za propaganda za popobawa kuwaingilia watu usiku na kuwanyanyasa kingono zilizokuwa zikivuma miaka ya nyuma, sasa kuna...

READ MORE

Hiace Yaua 7, Yajeruhi 12 Kigoma

WATU saba wamefariki dunia na wengine 12 kujeruhiwa baada ya gari walilokuwa wakisafiria kupasuka tairi la nyuma na kupinduka mkoani...

READ MORE

Yatima Muuza Maji Aliyewajengea Vikongwe Masikini Nyumba! – Video

KIJANA mmoja mkazi wa Kijiji cha Twabagondozi wilayani Kibondo mkoani Kigoma, ameonyesha kuwa si lazima kuwa na pesa nyingi ili...

READ MORE

TAMKO la POLISI Kuhusu MAUAJI Kigoma “Tutawalaza Wote” – Video

Kamishna wa Oparesheni na Mafunzo wa Jeshi la Polisi nchini, Liberatus Sabas amewahakikishia wakazi wa Mkoa wa Kigoma kuimarishwa kwa...

READ MORE

Watu 28 Wakamatwa kwa Kupiga Askari

WATU 28 wamekamatwa na polisi wilayani Nyang’hwale, Geita kwa tuhuma za kuwajeruhi askari polisi watatu kwa silaha za jadi wakati...

READ MORE

Mauaji Kigoma: Lugola Atoa Maagizo kwa IGP Sirro

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola amemuagiza Inspekta Jenerali wa Polisi (IGP), Simon Sirro kuwaondoa katika madaraka...

READ MORE

Kigoma: Wamiliki wa Daladala Wagoma

WAMILIKI wa vyombo vya usafiri Hiace maarufu kama daladala katika manispaa ya Kigoma Ujiji Mkoani Kigoma leo wamesitisha huduma ya...

READ MORE

KIGOMA: WAZIRI WA JK ACHUKUA FOMU JIMBO LA BILAGO

Waziri wa zamani Christopher Chiza ni miongoni mwa wana CCM, walioonyesha nia ya kuwania jimbo la Buyungu lililoachwa wazi baada...

READ MORE

MWENYEKITI APOTEA KIGOMA, ZITTO AUWASHA MOTO – VIDEO

MBUNGE wa Kigoma Mjini (ACT -Wazalendo), Zitto Kabwe amemtaka Waziri wa Ofisi ya Rais -Tamisemi kulitafutia ufumbuzi suala la kutoweka...

READ MORE

Linex MUZIKI NA TUMBAKU NDIYO MAISHA YANGU

  UKITEMBELEA katika viunga vya Mkoa wa Kigoma leo, ukauliza watu maarufu wanaopendwa mkoani humo pasi na shaka utajibiwa majina...

READ MORE

Rais Magufuli Amlilia Mbunge Dkt. Kaburu

  RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amepokea kwa masikitizo kifo cha aliyewahi kuwa Mwenyekiti...

READ MORE

SITASAHAU NILIPOLALA NA MWANAMKE JUU YA KABURI (11)

  Tulikuwa katika mikono ya wanyang’anyi. Walikwisha tuamuru tushuke chini na tulitii kwa kuzihofia roho zetu kuondolewa na zile bunduki...

READ MORE

SITASAHAU NILIPOLALA NA MWANAMKE JUU YA KABURI (10)

Kufumba na kufumbua tulifika Singida. Kupika na kupakua tuliingia Tabora. Taratibu tukauacha mkoa huu wa Wanyamwezi, tukafika Kahama mkoani Shinyanga....

READ MORE

SITASAHAU NILIPOLALA NA MWANAMKE JUU YA KABURI (8)

ILIPOISHIA IJUMAA…   “Mzee Samike kwa sababu ya uchawi wake, alikwishatengwa na jamii. Watu wote walimwogopa na hawakuthubutu kwenda msibani....

READ MORE

Maafisa wanne Kigoma Wasimamishwa Kazi kwa Tuhuma za Udanganyifu

Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Brigedia General Mstaafu Emmnuel Maganga ameagiza kusimamishwa kazi kwa maafisa maendeleo wanne wa Halmashauri za...

READ MORE