×

Tag: kigwangalla

Wanaodai Katiba Mpya Walikimbia Bunge la Katiba

MBUNGE wa Ngega Vijijini, Dkt. Hamisi ameamua kuvunja ukimya na kufunguka kuhusu baadhi ya wanasiasa wanaodai mchakato wa katiba mpya...

READ MORE

Waziri wa Maliasili Atengua Uamuzi wa Kigwangala ‘Ulikuwa Kinyume na Sheria’

WIZARA ya Maliasili na Utalii imefunga rasmi mzozo uliodumu kwa miaka miwili juu ya eneo la uwindaji kando ya ziwa...

READ MORE

Dkt. Kigwangalla Asema Atashitaki

  Baada ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere kubainisha matumizi mabaya ya fedha za...

READ MORE

CAG: Wizara ya Maliasili Iliilipa Wasafi Mil 140 Bila Mkataba

Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali (CAG) imeeleza kuwa Sh140 milioni ambazo Wizara ya Maliasili na Utalii...

READ MORE

Muhimbili Wamjibu Kigwangalla ‘Hatuondoi Nyungu’

Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) imesema haitaondoa huduma ya kujifukiza Hospitalini hapo kama ilivyoshauriwa na Mbunge wa Nzega Vijijini, Hamisi...

READ MORE

Kigwangalla Ataka ‘Nyungu’ ya Muhimbili Ivunjwe

  Mbunge wa Nzega Mjini, Dkt. Hamis Kigwangalla ameshauri mashine ya kujifukizia iliyowekwa Hospitali ya Muhimbili ivunjwe na watu wafauate...

READ MORE

Waraka wa Kigwangalla Baada ya JPM Kuapisha Mawaziri

HUU ni Waraka wa aliyekuwa Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Hamis Kigwangalaa, saa chache baada ya Rais wa Jamhuri...

READ MORE

TANAPA Kununua Helikopta Dhidi ya Majanga ya Moto

WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Dk. Hamis Kigwangalla, ameagiza Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA), kujipanga upya kwa kuwa na...

READ MORE

Kigwangalla Akoleza Bil. 20 za Simba Akimtaja Mo

WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Dkt. Hamisi Kigwangalla, amesema hana tofauti wala chuki na Mwenyekiti wa Bodi ya Klabu ya...

READ MORE

Mbele ya JPM, Kigwangalla Asimulia Alivyouza Vitumbua, Jojo – Video

MGOMBEA Ubunge wa Jimbo la Nzega Vijijini na Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt Hamis Kigwangalla, amesema kuwa yeye ni...

READ MORE

Kigwangalla Ataka Karantini kwa Wageni Iondolewe

WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Dkt. Hamis Kigwangalla amesema kwa kuwa #CoronaVirus tayari imeshaingia Tanzania, haileti maana kuweka masharti magumu kwa...

READ MORE

Makonda Amweleza Kigwangalla “Achana na Mitandao”

MKUU wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amemshauri Waziri wa Maliasili na Utali, Dk. Hamis Kigwangalla kuchapa kazi...

READ MORE

Kigwangalla: Kutumbuliwa Siyo Shida Kwangu, Nishachoka!

KUFUATIA Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali nchini (CAG) ya mwaka wa fedha unaoishia Juni 30,...

READ MORE

Ishu ya Steve Nyerere, Kigwangala Amjibu Msigwa, Diamond Atajwa – Video

WAZIRI wa maliasili na Utalii, Dkt. Hamis Kigwangalla, amefafanua Bungeni sababu za kuwatumia watu maarufu kwenye kutangaza utalii akiwemo mwanamuziki,...

READ MORE

Kigwangalla, Mkenda Wakutana Mwanza, Sasa Kazi Tu!

BAADA ya kumaliza tofauti zao ndani ya muda uliotolewa na Rais John Magufuli, Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Hamisi...

READ MORE

Kigwangalla: ‘Mind Your Own Business’

Baada ya Rais John Magufuli kuagiza Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Hamisi Kigwangalla pamoja na Katibu Mkuu wa Wizara...

READ MORE

Kigwangalla Amjibu Makonda Sakata la Idris na Picha ya JPM

WAZIRI  wa Maliasili na Utalii, Dkt. Hamis Kigwangalla, amemjibu Mkuu wa Mkoa wa dar s salaam, Paul Makonda ambaye mapema...

READ MORE

Makamba, Kigwangalla Waombana Msamaha; ‘Leo Upo Kesho Haupo!’

WAZIRI  wa Maliasili na Utalii, Hamis Kigwangalla, amemuomba msamaha Waziri wa Mazingira, Januari Makamba, baada ya mvutano waliokuwa nao katika...

READ MORE

JPM Kuzindua Hifadhi ya Taifa Burigi Chato, Julai 9

RAIS  John  Magufuli anatarajiwa kuzindua rasmi Hifadhi ya Taifa ya Burigi huko Chato siku ya Jumanne Julai 9,  mwaka huu,...

READ MORE

Tembo Kufungwa Mikanda ya GPS ya Sh. Mil. 800

  WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Dk. Hamis Kigwangallah jana amezindua mpango kuwafunga mikanda ya mawasiliano ya kijiographia (GPS) Tembo ...

READ MORE

MTOTO WA KIGWANGALLA AZIKWA NZEGA

MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mama Samia Suluhu Hassan aliongoza shughuli za mazishi ya Zulqarinain mtoto...

READ MORE

RAIS MAGUFULI AFIKA KUWAPA POLE FAMILIA YA KIGWANGALLA

Rais Dkt. John Magufuli, leo ametoa mkono wa pole kwa familia ya Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Hamisi Kigwangalla...

READ MORE

KINACHOENDELEA MSIBA WA MTOTO WA KIGWANGALLA

  MSIBA wa Zulqarinain Mtoto wa Mbunge wa Nzega Vijijini ambaye pia ni Waziri wa Maliasili na Utalii Dk. Hamisi...

READ MORE

WAZIRI KIGWANGALLA APATA PIGO TENA

WAZIRI wa Maliasili na Utalii Hamis Kigwangalla amefiwa na mtoto wake anayefahamika kwa jina la Zul, ambapo mazishi yatafanyika kesho...

READ MORE

Kigwangalla Achukia, Aivunja Bodi ya Utalii (TTB) Papo Hapo- Video

WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Dk. Hamis Kigwangalla amevunja bodi ya wakurugenzi ya Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) kuanzia jana...

READ MORE

MAGUFULI AAGIZA VIJIJI VILIVYOPO MAENEO YA HIFADHI VISIONDOLEWE

RAIS Dkt. John Pombe Magufuli ameagiza kusitishwa mara moja kwa zoezi la kuviondoa vijiji na vitongoji vinavyodaiwa kuwepo katika maeneo...

READ MORE

Ridhiwani alivyomvaa Dk Kigwangalla

MBUNGE wa Chalinze (CCM), Ridhiwani Kikwete amemvaa Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk Hamis Kigwangala akimwambia kwamba bado hajafanya kazi...

READ MORE

Alichokisema Kigwangalla Baada ya Atembelea Eneo Alilopata Ajali

WAZIRI wa Maliasili na Utalii Mheshimiwa Dkt. Hamisi Kigwangalla jana Novemba 23, 2018 ametembealea kituo cha Afya Magugu, pamoja na...

READ MORE

Wazee Wamfanyia Tambiko Waziri Kigwangalla

WAZIRI wa Maliasili na Utalii ambaye pia ni Mbunge wa Jimbao la Nzega Vijijini la Mkoani Tabora, Dkt. Hamisi Kigwangalla...

READ MORE

Mjukuu wa Malkia Elizabeth Awasili Nchini, Kukutana na JPM

MJUKUU wa Malkia wa Uingereza, Prnce William ametua Nchini Tanzania jioni ya leo Septemba 26, 2018 kwa ziara maalum ya...

READ MORE

DKT. KIGWANGALLA ARUHUSIWA KUTOKA MUHIMBILI – PICHA

JAPO la Madaktari Bingwa wa MOI linalomhudumia Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Hamisi Kigwangalla limemruhusu kutoka wodini baada ya...

READ MORE

Kigwangalla Kuruhusiwa Muda Wowote Muhimbili, JK Amtembelea Tena

RAIS Mstaafu, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amemtembelea na kumjulia hali Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Hamisi Kigwangalla aliyelazwa katika...

READ MORE

Kikwete Amjulia Hali Kigwangalla Muhimbili – Pichaz

  Rais Mstaafu wa awamu ya Nne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete jioni ya tarehe...

READ MORE

Hali ya Kingwalla Yazidi Kuimarika – Picha

HALI ya Waziri wa Maliasili na Utali, Dkt. Hamisi Andrea Kigwangalla imeendelea kuimarika vizuri kutokana na matibabu anayopatiwa katika Hospitali...

READ MORE

MAZITO YAFUMUKAA JALI ZA VIONGOZI

SIKU chache baada ya Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk. Hamis Kigwangalla kuje­ruhiwa katika ajali ya gari iliyotokea Mdori mkoani...

READ MORE

Waziri Kigwangalla Ahamishiwa Dar

WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Dk Hamisi Kigwangalla aliyepata ajali ya gari leo mkoani Manyara anahamishiwa Dar es Salaam kwa...

READ MORE

UPDATES YA AJALI: Waziri Kigwangalla Alazwa Kituo Cha Afya Magugu, Manyara

Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Hamisi Kigwangalla amelazwa katika kituo cha afya Magugu akipatiwa matibabu zaidi kutokana na majeraha...

READ MORE

Walichosema Zitto, Bashe na Dk Mashinji Baada ya Kigwangalla Kupata Ajali

Baada ya Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Hamisi Kigwangalla kupata ajali asubuhi hii akitokea mkoani Arusha kuelekea Manyara karibu...

READ MORE

Tuzo za MO Simba: Kigwangalla Awachana Wapinzani – Video

WAZIRI wa Maliasiri na Utalii, Dkt. Hamisi Kigwangalla ambaye ni mkerekletwa wa Klabu ya Simba, amewachana wapinzani wa klabu hiyo...

READ MORE