×

Tag: KISUTU

Kigogo wa Reli Akutwa na Kesi ya Kujibu, Wengine Waaachiwa Huru 

ALIYEKUWA Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni Hodhi ya Mali za Shirika la Reli (RAHCO), Benhardard Tito, amepatikana na kesi ya kujibu...

READ MORE

Mwakabibi, Mratibu wa Mradi DMDP Kutokutaka Nje Ya Nchi Bila Kibali

  ALIYEKUWA Mkurugenzi wa Manispaa ya Temeke, Lusibilo  Mwakabibi na na Mkurugenzi na Mratibu wa  Mradi wa DMDP,  Edward   Haule...

READ MORE

Waliozusha Tarifa za Uongo Dhidi Ya Waziri Mkuu Waswekwa Lupango

Wafanyabiashara wawili wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu mkazi Kisutu wakikabiliwa na Mashtaka matatu ikiwemo la kuchapisha maudhui ya uongo...

READ MORE

Kesi Ya Mbowe, Wenzake Watatu Utetezi Waomba Kupelekwa ‘HighCort’

  Wakili wa Utetezi, Peter Kibatala akizungumza na wanahabari baada ya kuahirishwa kwa kesi hiyo. UPANDE wa utetezi katika kesi...

READ MORE

Mbowe Afikishwa Mahakamani Kisutu – Video

Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe, na wenzake watatu wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kukiwa na ulinzi mkali leo...

READ MORE

Kesi ya Mbowe Yaahirishwa, Wafuasi Chadema Wasombwa

POLISI jijini Dar es Salam wamewatawanya wafuasi wa Chadema ambao walikuwa wamekusanyika nje ya mahakama ya Kisutu kufuatilia kesi ya...

READ MORE

Mbaroni Kisutu Kwa Tuhuma za Kusafirisha Dawa za Kulevya

Watu watatu akiwemo Afisa Utawala wa kampuni ya ujenzi ya Makame Mwinyi Generals Supplies, Batuli Bakari (39) na fundi umeme...

READ MORE

Mkazi wa Makoroboi Mwanza Apandishwa Kisutu Kwa Tuhuma za Wizi

MFANYABIASHARA, Krushna Karia (37) Mkazi wa Makoroboi jijini Mwanza, amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa tuhuma za...

READ MORE

Wazee wa Kusafirisha Vinyonga Watiwa Mmbaroni, Kesi ya Uhujumu Uchumi

WAFANYABIASHARA watatu wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na mashtaka mawili likiwemo la kujihusisha na biashara wa nyara...

READ MORE

Lina wa Dar Ahukumiwa Miaka 30 Jela Kwa kusafirisha Dawa Za Kulevya, Wawili Miaka 20

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemuhukumu mkazi wa Tabata, Lina Muro kwenda jela miaka 30 baada ya kutiwa hatiani kwa...

READ MORE

Kortini kwa Tuhuma za Kukamatwa na Bangi – Video

  Wafanyabiashara ndogondogo maarufu kama Machinga, Twaga Sultan na Abeid Ismail wakazi wa jijini Dar es Salaam wamefikishwa katika Mahakama...

READ MORE

Wanne Mbaroni Kukutwa na Madini

WAFANYABIASHARA wanne wa madini, Mohammed Innamula, Mubarack Mullas, Rivzi Yoonus (wote raia wa Sri Lanka) na Mtanzania mmoja, Mehboob Rattansi,...

READ MORE

Wanaodaiwa Kufanya ‘Biashara ya Walemavu’ Wafikishwa Mahakamani

WASHITAKIWA 15 wanaodaiwa kuwatumikisha walewavu waliokamatwa katika maeneo ya Tandale jijini Dar es Salaam hivi karibuni, wamefikishwa katika Mahakama ya...

READ MORE

Aliyejifanya Ofisa TAKUKURU Anaswa, Afikishwa Kortini

Mfanyabiashara, Edson Beanga Mkazi wa Dar es Salaam amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na mashtaka matatu likiwemo...

READ MORE

Jamaa Wa Kusambaza Picha Chafu Za ‘Ngono’ Kwa WhatsApp Anaswa

Mfanyabiashara, Faraji Omary (26) Mkazi wa Mbagala Jijini Dar es Salaam amefikishwa katika mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na...

READ MORE

Kesi Wanaodaiwa Kuchana Noti 460,000 za BOT Yaahirishwa

KESI inayowakabili watu 13 wakiwemo watumishi wanane wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT) na wenzao watano imeshindwa kuendelea katika Mahakama...

READ MORE

Mchungaji Billioneire Apandishwa Mahakamani Kisutu

Mchungaji wa Kanisa la Shalom Internation lililopo Sinza jijini Dar es Salaam, Billioneire Mkeu miaka(44) amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu...

READ MORE

Polisi Wasindikiza Sanduku la Madini Mahakamani

  WAFANYABIASHARA wawili wa madini, Haji Hassan (52) na Jamas Hassan (55)  wamehukumiwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Miaka Mitatu...

READ MORE

Kesi ya Idris, Mwenzake Yakwama Kortini

KESI  inayomkabili mchekeshaji maarufu nchini, Idris Sultan, na mwenzake, Innocent Maiga, imeshindwa kuendelea katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu leo...

READ MORE

Wazee 15 wa ‘Nitumie kwa Namba Hii’ Wanaswa – Video

WAKAZI 15 wa Wilaya ya Kilombero mkoani Morogoro wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na mashitaka mbalimbali ikiwemo...

READ MORE

Mashtaka 9 Waliyofunguliwa Mahakamani Vigogo 4 wa NEMC

Vigogo wanne wa Baraza la Taifa la Hifachi na usimamizi   (NEMC),  wamefikishwa katika Mahakaka ya Hakimu Mkazi Kisutu na wakiiabiliwa...

READ MORE

‘Magogo’ Yamponza kKigogo Mwingine – Video

Mfanyabiashara na Mkurugenzi wa Kampuni ya Salsabil Investment Limited, Abdulrahman Omary amepandishwa kizimbani katika mahakama ya hakimu mkazi Kisutu akikabiliwa...

READ MORE

Mch. Msigwa Atolewa Gerezani, Azua Balaa – Video

RAIS  John Magufuli jana (Alhamisi) Machi 12, 2020, alimlipia Mbunge wa Iringa Mjini (Chadema), Mchungaji Peter Msigwa kiasi cha Tsh...

READ MORE

Mbowe na Wenzake Wapelekwa Gerezani Baada ya Kushindwa Kulipa Faini

Viongozi wanane wa Chadema akiwemo mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe wamepelekwa katika gereza la Segerea kutokana na kushindwa kulipa...

READ MORE

Mbowe, Wenzake Wahukumiwa Jela au Kulipa Faini

Hatimaye Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, leo imewahukumu viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wakiongozwa na mwenyekiti wao,...

READ MORE

Updates: Mbowe, Wenzake Wakutwa na Hatia Makosa 12

UPDATES KUTOKA KISUTU, HUKUMU YA MBOWE VIONGOZI WENZAKE: Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imewatia hatiani washtakiwa wote katika mashtaka 12,...

READ MORE

Hukumu ya Mbowe, Wenzake Yaahirishwa kwa Muda

HAKIMU Mkazi wa Mahakama ya Kisutu  jijini Dar es Salaam, ameahirisha kusoma hukumu ya kesi inayowakabili viongozi wa Chama cha...

READ MORE

Hukumu ya Mbowe na Wenzake Kusomwa Leo Kisutu – Video

Mahakama ya Kisutu leo Machi 10, inatarajia kutoa hukumu kwa Viongozi wa CHADEMA wanaokabiliwa na kesi ya uchochezi mahakamani hapo....

READ MORE

Wahamiaji Haramu 82 Wafikishwa Kortini Dar – Video

Watu 82 raia mataifa tofauti wamefikishwa katika mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na kosa la kuingia na kuishi nchini...

READ MORE

Mahakama Yakubali Maombi ya Rugemalira

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imekubali kupokea hoja za maombi ya mfanyabiashara James Rugemalira anayetaka kuondolewa kwenye kesi ya utakatishaji...

READ MORE

Wachina Waliotaka Kumhonga Kamishna TRA Wahukumiwa

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imemhukumu Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Ronglan Intl Industry and Trade Co. Ltd, Zheng Rongman...

READ MORE

Wadhamini Waomba Lissu Akamatwe – Video

WADHAMINI wa aliyekuwa mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu,  wamewasilisha maombi mahakamani kutaka itoe kibali cha Lissu kukamatwa baada ya...

READ MORE

Tito Magoti Arudishwa Rumande – Video

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imeutaka Upande wa Mashitaka kutoa maelezo yanayojitosheleza kuhusu upelelezi wa kesi inayomkabili Afisa wa Kituo...

READ MORE

Mahakama Yasema Zitto ana Kesi ya Kujibu Uchochezi

  MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu iliyopo jijini Dar es Salaam, imemkuta na kesi ya kujibu Mbunge wa Jimbo la...

READ MORE

Rugemalira Acharuka Kortini, Atoa Notisi kwa Taasisi Tisa – Video

  Mkurugenzi wa kampuni ya VIP na mmiliki mwenza wa zamani wa IPTL, James Rugemalira amewasilisha notisi kwa taasisi tisa...

READ MORE

Serikali Yamuomba Kabendera

KESI ya uhujumu uchumi inayomkabili Mwanadishi wa Habari za Uchunguzi, Erick Kabendera, jana Februari 11, 2020 iliendelea kusikilizwa katika Mahakama...

READ MORE

Kesi ya Mbowe: “Polisi Walinichukulia Sh 12,500, Nikabakiwa na Sh 200”

ALIYEWAHI kuwa Mwanachama wa chama cha Mapinduzi (CCM) mwaka 2000 hadi 2014 na baadaye kuacha siasa na kujiunga na Chuo...

READ MORE

Wadhamini Wamuomba Mbowe Amlete Lissu Mahakamani

WADHAMINI wa aliyekuwa Mbunge wa Singida Mashariki kwa tiketi ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, wameieleza Mahakama...

READ MORE

Mahakama Kisutu Yatoa Dhamana kwa ‘Video Conferencing’

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu  jana Januari 14, 2020,  kwa mara ya kwanza ilitoa dhamana kwa mahabusu Abubakari Seguni aliyekuwa...

READ MORE

Meya Dar Akubali Yaishe, Afuta Kesi Mahakamani – Video

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imeifuta kwa gharama kesi ya Meya wa Jiji la Dar es Salaam, Isaya Mwita,  ya...

READ MORE