Atletico Madrid Mabingwa Europa League, Waipiga Marseille Bao 3-0
Antoine Griezmann alifunga mabao mawili na kuwawezesha Atletico Madrid kuwachapa Marseille 3-0 mjini Lyon, Ufaransa na kushinda Kombe la Europa League mara yao ya tatu katika kipindi cha miaka tisa.
Mshambuliaji huyo wa kimataifa wa…
