Shule Iliyoburuza Mkia Miaka Mitatu Yafanya Maajabu
Shule ya Sekondari Kome iliyoko Halmasahauri ya Buchosa Wilayani Sengerema mkoa wa Mwanza iliyoshika nafasi ya mwisho kwa miaka mitatu mfululizo kwa matokeo ya mitihani ya kidato cha nne na chapili imeongeza ufaulu kwa matokeo mazuri ya…
