Baba wa KR Mullah Afariki Dunia
MSANII mkongwe wa muziki wa kizazi kipya nchini Rashid Ziada ‘KR Mullah’ amefiwa na baba yake mzazi mkoani Lindi.
Taarifa ya kifo cha mzazi wa msanii huyo, kimeelezwa na msanii mwingine wa muziki wa kizazi kipya, Amani…
