Alishtaki Gazeti Kwa Kutumia Picha Yake Kuelezea Wanawake Wanene
MWIGIZAJI mmoja wa Iraq amesema analishtaki Gazeti la Economist kwa kutumia picha yake kuelezea makala kuhusu wanawake wa Kiarabu kuwa "wanene" kuliko wanaume.
Enas Taleb alisema kuwa picha hiyo ilitumiwa nje ya muktadha…
