×

Tag: mahakama

Mahakama Yasema Tundu Lissu Ana Kesi ya Kujibu – Video

Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Ndogo ya Dar es Salaam, leo Agosti 21, 2026 imemkuta na kesi ya kujibu Mwenyekiti...

READ MORE

Mama, Mwana Jela Miaka 40 kwa Kukutwa na Vipande 8 vya Nyumbu

MAHAKAMA ya Wilaya ya Itilima Mkoani Simiyu, katika kesi yake ya kwanza kuitolewa hukumu tangu izinduliwe Novemba 25, 2022 na...

READ MORE

Mrembo Dar Jela Miaka 30 kwa Kosa la Kukamatwa na Bangi

  MKAZI wa Tandika wilayani Temeke mkoani Dar es Salaam, Hadija Chikundi (31) amehukumiwa kwenda jela kutumikia kifungo cha miaka...

READ MORE

Beach Boy Ahukumiwa Kifungo cha Maisha Gerezani kwa Kumbaka Mtoto Akimfundisha Kuogelea    

MAHAKAMA ya Wilaya Kinondoni jijini Dar es salaam, imemhukumu Dunia Suleman (36) kwa jina maarufu P squre, kutumikia kifungo cha...

READ MORE

Rufaa Kupinga Hukumu ya Kifo Mkoani Mara Yabatilishwa, Ushahidi wa Rufaa Ni wa Uongo

MAHAKAMA ya Rufaa Mkoani Mara imetupilia mbali rufaa iliyokatwa na mtuhumiwa Matiko Chandruku kwa jina maarufu Kehu, kupinga hukumu ya...

READ MORE

Hoteli Jijini Dar es Salaam Yaamriwa Kurejesha Mishahara ya Wafanyakazi

MAHAKAMA Kuu Kitengo cha Kazi imeiamuru uongozi wa Hotel ya Southern Sun iliyopo jijini Dar es salaam nchini Tanzania kuwalipa...

READ MORE

Mwanza: Babu wa Miaka 62 Ahukumiwa Kunyongwa Hadi Kufa kwa Mauaji

MAHAKAMA Kuu ya Tanzania Kanda ya Mwanza imemhukumu, Damian Andrea (62), kunyongwa hadi kufa kwa kosa la kumpiga risasi na...

READ MORE

Jela Miaka 30 Kwa Kumbaka Mama Yake Mzazi, Mtuhumiwa Atoroka Hukumu

MAHAKAMA ya Wilaya ya Iringa imemhukumu mfanyabiashara, Kaloli Mkusa kifungo cha miaka 30 jela na fidia ya shilingi milioni moja...

READ MORE

Ahukumiwa Kwenda Jela Miaka 30 kwa Kosa la Kumbaka Mwanafunzi

MAHAKAMA ya Wilaya ya Makete mkoani Njombe imemuhukumu Faison Sanga ( 19 ) mkazi wa Makwaranga Kata ya Ipelele kutumikia...

READ MORE

Kijana Apandishwa Kizimbani kwa Tuhuma ya Kumbaka Aliyemuahidi Kumuoa

MAHAKAMA ya Wilaya ya Makete mkoani Njombe imemsomea shtaka la ubakaji kijana Faison Alimajani Sanga (19) mkazi wa kijiji cha...

READ MORE

Mzee wa Miaka 69 Hatiani kwa Mauaji

  Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es Salaam, imemhukumu kifungo cha nje cha mwaka mmoja, Marima Mazengo (69)...

READ MORE

Maamuzi Kesi ya Mbowe Ijumaa Hii

NI siku 6 mfululizo za uchovu, hasira, vicheko na afya kutokuwa imara kwa shahidi wa 13 kutoka upande wa Jamhuri,...

READ MORE

Uamuzi Mdogo Kesi ya Sabaya Leo

Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha leo Jumatatu Januari 3, 2022 imepanga kutoa uamuzi mdogo wa pingamizi lililowasilishwa na mawakili wa...

READ MORE

 Mabishano Kuhusu Sare za JWTZ Kesi ya Mbowe

MABISHANO ya kisheria yameendelea leo Jumatatu Desemba 20, 2021 katika kesi ya ugaidi inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na...

READ MORE

Mbowe na Wenzake Wagonga Mwamba Kesi Ndogo

MAHAKAMA Kuu Devisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi imetupilia mbali mapingamizi yaliyowekwa na upande wa utetezi katika kesi...

READ MORE

Rufaa ya Sabaya Kuunguruma Desemba 13

Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Butamo Philip anatarajiwa kuanza kusikiliza rufaa ya aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai...

READ MORE

Pingamizi Jingine la Mbowe ‘Lauma Chuma’

Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Joachim Tiganga ametoa uamuzi kuhusu Shahidi aliyejitambulisha kama askari H4323 DC Msemwa wa kituo...

READ MORE

Wahukumiwa Kunyongwa Hadi Kufa kwa Kumuua Dereva Bodaboda

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Iringa imewahukumu Fred Nyagawa, Isaya Mgimba na James Mteleke kunyongwa hadi kufa baada ya kukutwa na...

READ MORE

Kesi ya Mbowe: Shahidi Akutwa na Simu & ‘Diary’ Kizimbani

Shahidi wa pili upande wa mashtaka katika kesi ndogo ndani ya kesi ya msingi inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe...

READ MORE

Mbowe Aweka Pingamizi Mahakamani

Mahakama Kuu ya Tanzania Divesheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi inatarajia kesho imepanga kutoa Uamuzi mdogo wa pingamizi...

READ MORE

Shahidi wa nane kesi ya kina Mbowe leo

BAADA ya mapumziko ya weekend, leo Jumatatu, Novemba 8,2021 kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na...

READ MORE

Kesi ya Mbowe Yakwama, Shahidi Augua

KESI ya ugaidi inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe na wenzake watatu imeahirishwa baada ya shahidi wa Jamhuri kushindwa kufika...

READ MORE

Mawakili wa Mbowe Wambana Shahidi wa Serikali

Fredy Kapala shahidi wa tano wa upande wa Jamhuri katika kesi ya tuhumza za ugaidi inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman...

READ MORE

Muuza Mbege Atinga Mahakama Kutoa Ushahidi Kesi ya Mbowe – Video

Leo Jumatatu, Novemba 1, 2021, Shahidi wa nne upande wa Jamhuri kwenye kesi namba 16 ,2021, kesi ya uhujumu uchumi...

READ MORE

Kutoka Mahakamani: Ripoti ya Uchunguzi wa Silaha Kesi ya Mbowe

KESI ya uhujumu uchumi inayomhusisha Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe na wenzake watatu, wanaokabiliwa na mashtaka ya ugaidi, imeendelea tena...

READ MORE

Jaji Tiganga Kuongoza Kesi ya Mbowe

Jaji Joachim Charles Tiganga ndiye ataendesha kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe na wenzake watatu. Jaji...

READ MORE

Adaiwa Kubaka Mtoto wa Kambo wa Miaka 6

JESHI la polisi mkoani Simiyu linamshikilia mkazi wa kata ya Dutwa kwa tuhuma za kumbaka mtoto mwenye umri wa miaka...

READ MORE

Kesi Ndogo ya Mbowe… Jamhuri Yafunga Ushahidi Wake

Kutoka katika chumba cha Mahakama Kuu ya Tanzania Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, shahidi wa nne kati...

READ MORE

Maswali ya Kibatala kwa Inspekta Mahita

WAKILI anayeongoza jopo la mawakili wa utetezi katika shauri dogo la kesi inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake,...

READ MORE

Afande Mahita Aanza Kutoa Ushahidi Kesi ya Mbowe

Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi imeanza kupokea ushahidi kwa Mkaguzi wa Jeshi la Polisi, Mahita...

READ MORE

Kesi ya Mbowe Yashindwa Kuendelea

KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida, kesi ya ugaidi inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe na wenzake watatu imeshindwa kuendelea kusikilizwa...

READ MORE

Breaking: James Rugemalira Aachiwa Huru

  Mkurugenzi wa Kampuni ya VIP na aliyekuwa mmiliki mwenza wa IPTL, James Rugemalira aliyekuwa akikabiliwa na kesi ya uhujumu...

READ MORE

Mvutano Waibuka, Polisi Wazuiwa Kuingia na Simu Kesi ya Mbowe

WAKATI upande wa Jamhuri ukiendelea kutoa ushahidi wake katika kesi inayomkabili Freeman Mbowe na wenzake watatu, mvutano umeibuka katika geti...

READ MORE

Mbowe na Wenzake Wafikishwa Mahakamani – Video

MWENYEKITI wa CHADEMA, Freeman Mbowe na wenzake, leo Jumatatu, Septemba 6, 2021 wamefikishwa katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es...

READ MORE

Mahakamani: Sabaya Akiri Kumiliki Silaha

MSHTAKIWA namba moja katika kesi ya unyang’anyi wa kutumia silaha na aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai Mkoa wa Kilimanjaro,...

READ MORE

Idris na Wenzake Waachiwa Huru

HATIMAYE Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam imemfutia kesi na kumwachia huru msanii wa Bongo Movies na...

READ MORE

Aliyesema “Shahidi Yangu Mungu” Aibua Mazito Mahakamani

Ushahidi wa kesi ya jinai inayomkabili mchungaji Merchades Mugishagwe na mkewe Agripina Maganja, katika Mahakama ya Hakimu Mkazi wilaya ya...

READ MORE

Ngoma Nzito! Mbowe Awashtaki DPP, IGP na AG

MAHAKAMA Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es Salaam imekubali ombi la Mawakili wa Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe kuhudhuria...

READ MORE

Sabaya Kortini Tena, Kesi Yake Kusikilizwa Siku 14

Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya na wenzake wawili, Silivester Nyegu na Daniel Mbula, leo wamepandishwa kwa...

READ MORE

Mashahidi 66 Kesi ya Sabaya – Video

Mashahidi wa kesi namba 66 ya jinai ya mwaka 2021 wanatarajiwa kutoa ushahidi katika mashtaka mawili ya unyang’anyi kwa kutumia...

READ MORE