Mainda Adaiwa Kukimbia Kwake, Aishi kwa Muna!
DAR ES SALAAM: Ubuyu mtamu wa Wikienda! Kumeibuka ubuyu matata wa staa wa kitambo wa maigizo Bongo, Ruth Suka ‘Mainda’ akidaiwa kukimbia nyumbani kwake, Kijitonyama, Dar na kwenda kuishi nyumbani kwa mwigizaji mwenzake, Rose Alifonce…
