Mbatia Apigwa ‘Stop’ Kufanya Kampeni
KAMATI za maadili zimeendelea kuwa mwiba kwa wagombea na safari hii mgombea ubunge wa Vunjo kwa tiketi ya NCCR-Mageuzi, James Mbatia, amesimamishwa kufanya kampeni kwa siku saba, kuanzia leo Jumamosi, Oktoba 17 hadi 23, 2020.
…
