The House of Favourite Newspapers
gunners X
Browsing Tag

Manji

GSM, Manji Waongeza Mzuka Yanga

WADHAMINI wa Yanga Kampuni ya GSM rasmi imekubali kufanya kazi pamoja na aliyekuwa Mwenyekiti wa klabu hiyo, Yusuf Manji katika kuelekea msimu ujao. Hiyo ikiwa ni siku chache tangu Manji ahudhurie katika mkutano mkuu wa klabu hiyo wa…

Manji noma, awajibu TFF kibabe

WAKATI sakata la Yusuf Manji likiendelea kuwaumiza vichwa wengi juu ya nafasi yake ndani ya klabu hiyo, hatimaye mwenyewe amewajibu Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kwa staili ambayo unaweza kuiita ni ya kibabe. Kwa muda mrefu tangu…

Yanga yamng’ang’ania Manji

UONGOZI wa Yanga umesema kuwa unatambua Yusuf Manji bado mwenyekiti wao hadi pale watakapopokea barua kutoka Baraza la Michezo la Taifa (BMT) na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) juu ya maagizo ya kuitisha uchaguzi mkuu. BMT,…

Wazee Yanga wampitisha Manji

MTAKOMA! Ndivyo unaweza kusema baada ya Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Dk. Harrison Mwakyembe na Mwenyekiti wa Yanga Yusuf Manji, kumaliza utata uliokuwa umeibuka juu ya muundo wa uchaguzi wa klabu hiyo kwa kuwataka…

Manji Abadilisha Kambi Yanga

MAISHA yamebadi­lika ndani ya Yanga, ikiwa leo ni siku ya nne tu tangu Mwenyekiti Yusuf Manji arejee rasmi kwenye uongozi Jumapili iliyopita. Manji ambaye ni mtaalam wa biashara, aliibuka Ju­mapili na kuzungumza na…

Manji Yamkuta Mapya Tena Dar

MAMALAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imezifunga ofisi za kampuni ya mfanyabiashara Yusufu Manji kutokana na kudaiwa Sh 12.2 bilioni. Akizungumza leo Jumatatu jioni, Mkurugenzi wa Huduma na Elimu kwa Mlipakodi, Richard Kayombo amesema…

Hukumu ya Yusuf Manji Oktoba 6

MAHAKAMA ya Hakimu ya Mkazi Kisutu, imepanga Oktoba 6, mwaka huu kutoa  hukumu katika kesi ya dawa za kulevya inayomkabili Yusuf Manji (41). Uamuzi huo umetolewa jana na Hakimu Mkazi Mfawidhi, Cyprian Mkeha, baada ya wakili…