Manyanya Ahimiza Elimu kwa Watoto Wenye Mtindio wa Ubongo
Naibu Waziri wa Elimu na Sayansi na Teknolojia, Mhandisi Stella Manyanya amewahimiza wazazi wenye watoto walio na mtindio wa ubongo kuwapeleka watoto wao shule ili wakapate elimu huku akiwaonya wasiowapeleka watachukuliwa…
