The House of Favourite Newspapers
gunners X
Browsing Tag

mapenzi na pesa

Usikurupukie Ndoa, Wengi Wameumia!

HAKUNA anayebisha kwamba ndoa ni jambo la msingi sana katika maisha ya kila binadamu. Aidha, kuoa ama kuolewa ni heshima katika jamii na ndiyo maana leo hii wapo wanaofanya kadiri wawezavyo kuhakikisha wanapata watu wa kuwa nao…

Roho Nzuri ya Mumeo Isikupe Wivu

Na MWANDISHI WETU| RISASI MCHANGANYIKO| MAKALA HALO haloooo mashosti, leo nina booonge la umbeya ninawaletea, si unajua tena nimetoka kwenye sikukuu, hata kama hainihusu. Ndiyo, mie Muisilamu, lakini Wakristo ndugu zangu, sasa…

Natongozwa na Vibabu Tu

  Na BUSARA ZIRO| GAZETI LA AMANI| MUULIZE BUSARA ZIRO SHIKAMOO babu, mimi naitwa Aisha wa Buguruni, natamani sana kuolewa babu lakini tatizo langu vijana wenzangu hawanitongozi, sanasana natongozwa na vibabu tu, tena ambavyo…

Ajira Inazidisha au Inapunguza Upendo?

Na MWANDISHI WETU| RISASI MCHANGANYIKO| MAKALA HAYA tena leo kama kawaida tunakutana kwenye kijiwe chetu cha kupeana somo na wakati mwingine kumwagiana makavu laivu. Juzi mjomba wenu alikuwa amealikwa kwenye pati f’lani ya marafiki…

Uaminifu ni Muhimu Kuliko Mapenzi

UKIFANYA tathimini za kina, utagundua mapenzi ni muhimu sana katika maisha yetu ya kila siku. Mapenzi ni kichocheo cha furaha, amani na mshikamano. Mapenzi yanaleta utulivu wa akili, yanatibu matamanio ya mwili. Mapenzi yanaleta…

Bila pesa hakuna mapenzi ?

PESA ndiyo sabuni ya roho. Pesa ni kichocheo cha furaha. Ukiwa na pesa unajiamimi. Unaweza kufanya unalotaka wakati wowote. Ndiyo maana wengi wanadiriki kusema tafuta pesa ili uwe kama mfalme. Wanaosema pesa ndiyo kila kitu  wana hoja.…