AL AHLY WAPINZANI WA SIMBA, WABABE WA AFRIKA, DUNIA
FEBRUARI 2, mwaka huu utakuwa mtihani mwingine kwa Mbelgiji Patrick Aussems na Simba yake kwani watalazimika kuwafuata wababe Al Ahly nchini Misri katika muendelezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika.
Mechi hii itakuwa ngumu kwa…
