STENDI YA MBEZI LUIS YATENGEWA BILIONI 50, KUANZA KUJENGWA ‘SOON’
STENDI ya Mabasi yaendayo mikoani Ubungo ambayo inahamishiwa Mbezi-Luis jijini Dar es Salaam tayari imetengewa Shilingi bilioni 50 kwa ajili ya kuanza ujenzi mwezi ujao, ambapo kituo hicho kitakuwa cha kisasa…
