Mchungaji Mbaroni kwa Tuhuma ya Ubakaji
DODOMA: Mchungaji wa Kanisa la Pentekoste la Ipagala Manispaa ya Dodoma, Joshua Warioba, anashikiliwa na jeshi la polisi mkoani Dodoma kwa tuhuma za kumbaka na kumlawiti mtoto mwenye umri wa miaka mitano.
Inadaiwa kuwa mtoto huyu…
