MAKONDA AKAZIA ONYO LA MGAMBO KUPIGA RAIA – VIDEO
MKUU wa Mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda, ametoa taarifa ya kampeni ya usafi iliyoanza takribani mwezi mmoja uliopita kwenye kikao kilichohusisha wadau ya afya na mazingira huku akilaani tena kitendo kilichofanywa na baadhi ya mgambo…
