Rais Samia Atoa Maelekezo Sakata la Tozo za Miamala – Video
Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Julai 19, ametoa taarifa ya miamala ya simu na kusema kuwa, serikali imesikia kilio cha wananchi na inaendelea kuyafanyia kazi, ambapo Waziri mkuu ameitisha kikao kesho…
