AKIMBIWA KISA, UGONJWA WA KIFUA KIKUU
MKAZI wa Mbezi Makabe, jijini Dar es Salaam, Upendo William, amelalamikia kile alichodai kuwa kutelekezwa na mume wake wa ndoa iliyodumu kwa takriban miaka 20, baada ya kuugua ugonjwa wa Kifua Kikuu (TB) kwa zaidi ya mara mbili.…
