Mkoa wa Dar Kutoa Miguu ya Bandia 200 Kwa Wenye Matatizo
MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, ametoa wito kwa wakazi wa Dar es Salaam wenye matatizo ya kutembea kutokana na ulemavu au kuvunjika miguu, kufika ofisini kwake wiki ijayo Jumatatu na Jumanne ili wapimwe saizi ya viungo vyao…
