BREAKING NEWS: MUGABE ANG’OLEWA UENYEKITI WA ZANU-PF
Chama tawala nchini Zimbabwe, ZANU-PF, kimemtimua Rais Robert Mugabe, kwenye uenyekiti wa chama na kumteua aliyekuwa Makamu wa Rais kabla ya kufutwa kazi na Mugabe, Emerson Mnangagwa kuongoza chama hicho.
Anatakiwa ajiuzulu…
