Wakati Lile Sakata la Mchanga Wenye Madini Likiundiwa Tume, Mkemia wa Madini Bongo Atekwa!
Na WAANDISHI WETU| GAZETI LA UWAZI| HABARI
MWANZA: Habari kubwa inayotikisa nchi kwa sasa ni ya Rais Dk. John Pombe Magufuli kuzuia mchanga wenye madini kwenye makontena bandarini Dar kupelekwa nje ya nchi na ameunda tume ya…
