MTOTO MBARONI KIFO CHA MAMA YAKE!!
SHINYANGA: Kijana Ngassa Mathias (24), mkazi wa Kitongoji cha Kiloleli, Kijiji cha Ilebelebe, Kata ya Itilima, Wilaya ya Kishapu amekamatwa na jeshi la polisi baada ya mama yake mzazi, Nyawamba Dohoi kuuawa kwa kuchomwa na kitu chenye…
