Rais Magufuli Awaapisha Mkuu wa Majeshi, Kamishna wa Magereza, Mnadhimu Mkuu na Mabalozi
DAR ES SALAAM: AMRI Jeshi Mkuu na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli, leo amewaapisha Mkuu Mpya wa Majeshi ya Ulinzi, Jenerali Venance Mabeyo kushika wadhifa huo, akichukua nafasi ya Jenerali Davis…
