The House of Favourite Newspapers
gunners X
Browsing Tag

MOLINGA

Molinga Atamba Kuwamaliza Yanga

MSHAMBULIAJI mpya wa Namungo, David Molinga ‘Falcao’ ametamba kuwa amejipanga kufanya vizuri katika msimu ujao wa Ligi Kuu Bara hususani atakapokutana na waajiri wake wa zamani klabu ya Yanga. Molinga alikamilisha usajili…

Molinga, Mkwasa Freshi Yanga

HATIMAYE mshambu liaji wa Yanga, David Molinga, amemuomba radhi kocha msaidizi wa timu hiyo, Charles Boniface Mkwasa na sasa mambo yamekuwa freshi. Hatua hiyo imekuja baada ya kuibuka kwa taarifa kwamba wawili hao…

Kocha wa Yanga Apewa Onyo Kali

KAMATI ya Uendeshaji wa Ligi (Kamati ya Saa 72) imetoa onyo kali kwa Kocha wa Yanga Luc Eymael kwa kufanya vitendo na kutoa matamshi yasiyofaa kuhusu ubaguzi wa rangi katika mchezo wa ligi kuu Tanzania Bara dhidi ya Azam FC uliochezwa…

Molinga Achukua Ufalme Yanga

NYOTA Mkongo wa Yanga, David Molinga ameweka ufalme wake ndani ya klabu hiyo kwa siku za hivi karibuni kutokana na rekodi yake ya upachikaji mabao ambayo ni saba. Molinga ambaye amesajiliwa msimu huu katika hatua za mwisho za…