Mapokezi ya Nabii Mwanamke Yatikisa Airport DSM – Video
Nabii wa Kimataifa anaejulikana kama Dkt. Lucy Natasha kutokea nchini Kenya, ametua Tanzania kwa ajili ya Semina ya maalum ya Ufufuo (WIKI YA PASAKA) itakayofanyika katika Kanisa la Mlima wa Moto Assemblies of God Mikocheni B Jijini Dar es…
