The House of Social Media
gunners X
Browsing Tag

Naija

Biashara Yamshinda Ini Edo

Na ANDREW CARLOS| GAZETI LA IJUMAA| KUTOKA NAIJA IMEFICHUKA kwamba mkongwe wa filamu kutoka Nollywood, Ini Edo ameshindwa biashara na kuamua kufunga klabu yake kubwa na maarufu ya Mimz iliyopo Lekki, Lagos. Inaelezwa kuwa, klabu…

Davido: Nampenda Sophia Kinoma!

LICHA ya hivi karibuni kuweka hadharani kuwa anatarajia kupata mtoto wa pili kwa demu wake mpya mwenye asili ya Marekani, Mandy, staa wa muziki kutoka Naija, David Adeleke ‘Davido’ amefunguka ya moyoni kuwa bado anampenda kinoma mzazi…