Tanasha: Kulea Mwenyewe ni Presha Kubwa!
“Siyo kazi rahisi kulea mwenyewe, presha ni kubwa mno, lakini ninakabiliana nayo...”Hayo ni maneno ya mwanamama Tanasha Donna alipokuwa akizungumza na kituo kimoja cha redio nchini kwao, Kenya juu ya malezi ya mtoto Naseeb Junior…
