Natasha afanyiwa oparesheni
MSANII mkongwe kwenye gemu la filamu Bongo, Suzan Lewis ‘Natasha’ hivi karibuni alifanyiwa oparesheni ya kuondoa uvimbe tumboni na sasa yu kitandani anauguza kidonda.
Natasha alifanyiwa upasuaji huo wiki iliyopita katika Hospitali ya…
