Mashabiki ‘wamteka’ mwamuzi mechi ikiendelea
Mohammed Mdose, Dar es Salaam
MASHABIKI wa timu ya Friends Rangers, jana Jumanne uvumilivu uliwashinda baada ya kuchukua maamuzi magumu ya ‘kumteka’ mwamuzi wa pembeni aliyekuwa akichezesha mchezo wao dhidi ya Misosi FC kwenye Uwanja…
