Sima: Tutoe Fedha Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi
Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mussa Sima amezitaka nchi zilizoendelea kutimiza wajibu wao wa kutoa michango ya fedha na kuwezesha upatikanaji wa teknolojia za kisasa kwa nchi zinazoendelea…
