MFUMUKO WA BEI FEBRUARI 2018 WAONGEZEKA KWA ASILIMIA 4.1
OFISI ya Taifa ya Takwimu (NBS) imesema mfumuko wa bei wa taifa kwa mwezi Februari 2018, umeongezeka kidogo hadi kufikia aslilimia 4.1 ikilinganishwa na asilimia 4.0 ilivyokuwa mwezi Januari 2018.
Akizungumza na waandishi…
