Kuwa wa kwanza kuangalia video wa wimbo wa msanii wa Bongo Fleva, Pamela Daffa ‘Pam D’
unaoitwa Yeyo ingia Global App na kama huja install, nimekuwekea link hapa chini:
Android ===>GooglePlay
iOS ===>AppStore
Baada ya kuingia…
SIKU chache mara baada ya kuachia Ngoma ya Umepenya akiwa amemshirikisha Mfalme wa Singeli, Selemani Jabir ‘Msaga Sumu’ staa wa Bongo Fleva, Pamela Daffa yupo mbioni kutimia nchini Afrika Kusini ‘Sauz’ na kujikita huko kimuziki.…
MSANII wa Bongo Fleva, Pamela Daffa ‘Pam D’ ameamua kugeukia muziki wa singeli ameachia wimbo wake wa singeli ambao amemshirikisha Msaga Sumu unaoitwa umepenya.
Global Publishers App imekurahisishia sana jinsi ya kuitazama video…
SIKU chache baada ya staa wa Hip Hop Bongo, Ibrahim Mussa ‘Roma Mkatoliki’ kufungiwa na Naibu Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Juliana Shonza kutofanya sanaa miezi sita kutokana na wimbo wake wa Kibamia kukosa maadili, msanii…
MSANII wa Bongo Fleva, Pamela Daffa ‘Pam D’ ameamua kugeukia muziki wa singeli na kuahidi kuliteka soko hilo, kwa kuwa anaamini muziki huo bado haujapata mwanamke anayeumudu.
Akipiga stori na Risasi Vibes, Pam D alisema yupo…
MSANII wa Bongo Fleva, Pamela Daffa ‘Pam D’ amejikuta kwenye wakati mgumu wa kumfariji ndugu yake ambaye pia ni msanii mwenzake, Mesen Selekta kutokana na kufiwa na mama yake ambaye alimfia mikononi mwake.
Akistorisha na Mikito…
MWAKA unazidi kuyoyoma, kwenye upande wa burudani hasa Tasnia ya Muziki, mbali na wanamuziki wenyewe kutathimini nini wamefanya kwa mwaka huu, wadau wa tasnia hiyo hatuwezi kuonekana tumetenda kosa la jinai kupitia nini ambacho…
MWANADADA ambaye anafanya vizuri kwenye gemu la Muziki wa Bongo Fleva, Pamela Daffa ‘Pam D’, amefunguka juu ya skendo ya kujichimbia na mwanamuziki Emmanuel Elibariki 'Nay wa Mitego' hotelini wakiwa kwenye ziara ya kimuziki katika mikoa…
MSANII wa Bongo Fleva Pamela Daffa ‘Pam D’ amekiri kutamani kuvaa magauni kama wanawake wengine ila bado anapata shida kwa mazoea ya kuvaa nguo za kiume.
Pam D akichonga na Full Shangwe alisema kuwa, anapata wakati mgumu kuanza…
MWANADADA kiwango kwenye Bongo Fleva, Pamela Daffa `Pam D’ amesema anakerwa na baadhi ya mashabiki wa muziki wanaomshindanisha na mwanamuziki mwenzake ambaye pia ni muuza sura kwenye video za Kibongo, Gift Stanford `Gigy Money’ kwamba…
MSANII wa Bongo Fleva, Pamela Daffa ‘Pam D’ amefunguka kuwa, ukaribu alionao na staa wa Muziki wa Dansi, Christian Bella ‘Obama’ umembeba kwa kiasi kikubwa.
Akistorisha na Over Ze Weekend, Pam D anayebamba na Wimbo wa Ngoma Droo…
MKALI wa ngoma za Saresare pamoja na Zogo, Diana Exavery ‘Malaika’ amefunguka kuwa mashabiki wa muziki wamekuwa wakimfananisha staili yake ya uimbaji na mwanamuziki mwenzake Pamela Daffa ‘Pam D’ kutokana na wote kufanya kazi…
Stori: Mayasa Mariwata | RISASI MCHANGANYIKO |Risasi Vibes
SEXY lady anayetamba na Ngoma ya Daffa, Pamela Daffah ‘Pam D’ Amelia kutengwa na wasanii wenzake kutokana na kuwa mpweke akidai wamemsusia shughuli ya arobaini ya baba yake…
Stori: MAYASA MARIWATA
MKALI wa Ngoma ya Nimempata, Pamela Daffa ‘Pam D’ ambaye hivi karibuni alipata pigo la kuondokewa na baba yake, Shedrack Nyato amesema kifo hicho kimemyumbisha kimuziki kwani alipanga kuachia ngoma mpya siku baba…
Shedrack Nyato enzi za uhai wake.
Staa wa Bongo Fleva, Pamela Daffa ‘Pam D’ amefiwa na baba yake, Shedrack Nyato nyumbani kwake Mbagala jijini Dar jana.
Mtandao huu ukiongea na dada wa Pam D aitwaye Rehema Nyato, amesema chanzo cha…
Msanii wa Muziki wa Bongo Fleva, Pamela Daffa ‘Pam D’ na muuza nyago maarufu, Lulu Abbasi ‘Lulu la Diva’ wamefumwa ‘live’ wakidendeka bila kujali macho ya watu, wikiendi iliyopita katika Ukumbi wa Maisha Basement uliopo Kijitonyama jijini…
Mwanamuziki wa Bongo Fleva nchini, Pamela Daffa akiwaburudisha mashabiki waliojitokeza kwenye uzinduzi wa video yake ya Popo Lipopo ndani ya Maisha Basement usiku wa kuamkia leo.
Pam D akifanya yake na Mesen Selekta.
Pam D (mwenye…