The House of Social Media
gunners X
Browsing Tag

PAM D

Video Mpya: Pam D – Yeyo

Kuwa wa kwanza kuangalia video wa wimbo wa msanii wa Bongo Fleva, Pamela Daffa ‘Pam D’ unaoitwa Yeyo ingia Global App na kama huja install, nimekuwekea link hapa chini: Android ===>GooglePlay iOS ===>AppStore Baada ya kuingia…

PAM D KUTIMKIA SAUZ

SIKU chache mara baada ya kuachia Ngoma ya Umepenya akiwa amemshirikisha Mfalme wa Singeli, Selemani Jabir ‘Msaga Sumu’ staa wa Bongo Fleva, Pamela Daffa yupo mbioni kutimia nchini Afrika Kusini ‘Sauz’ na kujikita huko kimuziki.…

PAM D AHUZUNISHWA NA MKE WA ROMA

SIKU chache baada ya staa wa Hip Hop Bongo, Ibrahim Mussa ‘Roma Mkatoliki’ kufungiwa na Naibu Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Juliana Shonza kutofanya sanaa miezi sita kutokana na wimbo wake wa Kibamia kukosa maadili, msanii…

PAM D AGEUKIA SINGELI

MSANII wa Bongo Fleva, Pamela Daffa ‘Pam D’ ameamua kugeukia muziki wa singeli na kuahidi kuliteka soko hilo, kwa kuwa anaamini muziki huo bado haujapata mwanamke anayeumudu. Akipiga stori na Risasi Vibes, Pam D alisema yupo…

Mesen Ampa Wakati Mgumu Pam D

MSANII wa Bongo Fleva, Pamela Daffa ‘Pam D’ amejikuta kwenye wakati mgumu wa kumfariji ndugu yake ambaye pia ni msanii mwenzake, Mesen Selekta kutokana na kufiwa na mama yake ambaye alimfia mikononi mwake. Akistorisha na Mikito…

Wakali Hawa ‘Wamebuma’ 2017

MWAKA unazidi kuyoyoma, kwenye upande wa burudani hasa Tasnia ya Muziki, mbali na wanamuziki wenyewe kutathimini nini wamefanya kwa mwaka huu, wadau wa tasnia hiyo hatuwezi kuonekana tumetenda kosa la jinai kupitia nini ambacho…

Magauni Yamtesa Pam D

MSANII wa Bongo Fleva Pamela Daffa ‘Pam D’ amekiri kutamani kuvaa magauni kama wanawake wengine ila bado anapata shida kwa mazoea ya kuvaa nguo za kiume. Pam D akichonga na Full Shangwe alisema kuwa, anapata wakati mgumu kuanza…

Ukaribu na Bella Umenibeba!

MSANII wa Bongo Fleva, Pamela Daffa ‘Pam D’ amefunguka kuwa, ukaribu alionao na staa wa Muziki wa Dansi, Christian Bella ‘Obama’ umembeba kwa kiasi kikubwa. Akistorisha na Over Ze Weekend, Pam D anayebamba na Wimbo wa Ngoma Droo…

Malaika Amfungukia Pam D

MKALI wa ngoma za Saresare pamoja na Zogo, Diana Exavery ‘Malaika’ amefunguka kuwa  mashabiki wa muziki wamekuwa wakimfananisha staili yake ya uimbaji na mwanamuziki mwenzake Pamela Daffa ‘Pam D’ kutokana na wote kufanya kazi…

Tanzia: Pam D Afiwa na Baba Yake

  Shedrack Nyato enzi za uhai wake. Staa wa Bongo Fleva, Pamela Daffa ‘Pam D’ amefiwa na baba yake, Shedrack Nyato nyumbani kwake Mbagala jijini Dar jana. Mtandao huu ukiongea na dada wa Pam D aitwaye Rehema Nyato, amesema chanzo cha…