HISTORIA YA PEMBE: Alipoanzia, Alikata Tamaa, Urafiki na Senga – NOW I’M HERE –…
Katika kipindi cha 'NOW I'M HERE' Wiki hii tumemtembelea Msanii Mkongwe wa Filamu nchini, Yusuph Kaimu maarufu kwa jina la Pembe, mmoja kati ya wasanii ambao wamedumu kwenye vichekesho na kujijengea heshima kubwa.
Pembe ambaye mara zote…
