Trump Ajeruhiwa na Risasi Akihutubia Mkutano wa Kampeni Pennsylvania – Video
Rais wa zamani wa Marekani Donald Trump alijeruhiwa Jumamosi jioni wakati akihutubia mkutano wa hadhara mjini Butler, Pennsylvania.
Trump, ambaye ni mgombea urais mtarajiwa kwa tikiti ya chama cha Republikan, alionekana…
