Mshindi wa Bet Bonanza Aelezea Furaha Yake ya Ushindi Baada ya Kushinda Milioni 15
MSHINDI wa droo ya mwisho na kubwa ya Bet Bonanza ya Sportpesa, George Jafari Kimaro, leo asubuhi amefika katika ofisi za Sportpesa kujitambulisha rasmi na pia kuzungumza na uongozi kuhusiana na ushindi wake huo na kuelezea machache…
