×

Tag: PESA

Mshindi wa Bet Bonanza Aelezea Furaha Yake ya Ushindi Baada ya Kushinda Milioni 15

MSHINDI wa droo ya mwisho na kubwa ya Bet Bonanza ya Sportpesa, George Jafari Kimaro, leo asubuhi amefika katika ofisi...

READ MORE

Kortini kwa Kutafuna Pesa Alizotumiwa Kimakosa M-Pesa

MWANAMAMA Nancy Chonge Chepkwemoi nchini Kenya ameshtakiwa kwa tuhuma za kuiba pesa alizotumiwa kimakosa kupitia simu kutoka kwa Vincent Maina...

READ MORE

Tanzania Yaingiza Top 25 Makampuni Yanaoongoza kwa Mkwanja East Africa

TANZANIA imeingiza makampuni/mashirika sita kwenye orodha ya makampuni 25 Afrika Mashariki na orodha ya makampuni 250 Afrika nzima yenye mtaji...

READ MORE

Wafahamu Wachezaji Wanaolipwa Mkwanja Mkubwa Zaidi Duniani

KWA kipindi kirefu cha mwaka uliopita 2020, wachezaji walio katika nafasi nzuri walitengwa, wakifanya kazi kwa mshahara wa kiwango cha...

READ MORE

Musukuma Adai RC Gabriel na Wenzake Wametafuna Mil 600 – Video

Mbunge wa Geita Vijijini (CCM), Joseph Musukuma amemlipua mkuu wa Mkoa wa Geita, Robert Gabriel na timu akidai wamepata zaidi...

READ MORE

Mama Ala Michango ya Harusi Kujilipa Mahari

Mama anayefahamika kwa jina la Noelia mkazi wa Nsemulwa shuleni, wilaya ya Mpanda mkoani Katavi, amekula pesa za michango ya...

READ MORE

Careen: Mwanamme Kumpa Pesa Mwanamke Si Kuhonga

  BABY mama wa msanii Barakah The Prince ambaye ni Video Vixen, Careen Simba, amesema ni jukumu la mwanamme kumpa...

READ MORE

Mtendaji Aliyetoweka na Milioni 10 Asakwa

MADIWANI wa Halmashauri ya wilaya ya Uyui Mkoani Tabora wamemwagiza Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri hiyo, Hemed Magalu kumsaka Mtendaji wa...

READ MORE

Muswada Picha ya Maradona Iwekwe Kwenye Noti

SENETA Norma Durango wa Argentina amewasilisha muswada katika Bunge la nchi hiyo akipendekeza picha ya lejendari wa soka duniani, Diego...

READ MORE

Benki ya NBC Yachangia Mil 114.7 Kuboresha Elimu & Kilimo Simiyu

Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imetoa fedha kiasi cha Sh 114.7 Milioni kwa ajili ya kusaidia maendeleo ya Kilimo...

READ MORE

BoT Yatoa Maagizo ya Kubadili Fedha za Kigeni

BENKI Kuu imetoa dokezo la kisera (fedha) kudhibiti zaidi upatikanaji wa fedha za kigeni. Sera hii inapunguza upatikanaji wa fedha...

READ MORE

Noti za Tanzania Hazitunzi Virusi vya Corona – BoT

BENKI Kuu ya Tanzania (BoT) imesema noti zake zimetengenezwa kwa namna ambayo zinaweza kuzuia vimelea kusalia kwenye noti.   Katika...

READ MORE

Mgambo Atokomea na Milioni 17 za Ushuru

Mgambo mmoja aliyekuwa akikusanya fedha za ushuru wa maegesho ya malori Igunga Mjini mkoani Tabora, Peter Areray amekimbia na fedha...

READ MORE

Auza Nywele Zake Apate Pesa ya Kulisha Watoto

MWANAMKE mmoja kutoka nchini India ameamua kuuza nywele zake ili aweze kupata chakula kwa ajili yake na familia yake, jambo...

READ MORE

Watu Wanavyotengeneza Mkwanja Kirahisi

KILA siku, binadamu hutumia hela ili kutafuta hela zaidi. Jinsi gurudumu hili la maisha linapozunguka, sio hakikisho kuwa mambo yatakuwa...

READ MORE

Mil. 39 Zilizoyeyuka Kishirikina Zapatikana Laki 4 Kwenye ‘Kibubu’ – Video

FEDHA za kikundi cha kikoba cha kina mama cha Amani mkoani Arusha — Sh. milioni 39 — ambazo zinadaiwa kupotea...

READ MORE

Pesa za Kikundi Zayeyuka Kwenye Kibubu

Sherehe za kugawana faida katika kikundi cha ujasiriamali cha Imani, zilizokuwa zifanyike mapema mwishoni mwa wiki zimegeuka kilio kwa wanachama...

READ MORE

Wakabet Inakupa Mchongo Mpya wa Kubeti na Kulamba Mamilioni

WAKABET inatoa huduma ya michezo ya betting/kuweka dau ambayo inashughulikia ligi zote kubwa za mipira kuhakikisha upatikanaji wa aina mbalimbali...

READ MORE

Aliyepokea Fedha Kimakosa kwa M-Pesa Ashtakiwa

STANLEY IRUNGU amefikishwa mahakamani jijini Nairibo, nchini Kenya, baada ya kuchukua Sh. 39,000 za Kenya (Shilingi za Tanzania 1,300,000/=) katika...

READ MORE

GARI LA PESA LAZUA BALAA

MOROGORO: Gari linalodaiwa kusafirisha pesa kutoka Hazina na kuzisambaza kwenye mabenki mjini Morogoro mwanzoni mwa wiki hii likiwa katika mwendo...

READ MORE

Kenya Yazindua Noti Mpya, Buku Yaondolewa Kwenye Mzunguko

Serikali ya Kenya imezindua noti mpya za fedha ambazo zina picha za wanyama na vielelezo vingine vinavyoliwakilisha taifa hilo.  ...

READ MORE

KUFURU! BWA’MDOGO ANAYEDAIWA KUIPIGA MABILIONI SERIKALI YA JPM

UKISIKIA kuna bwa’mdogo wa miaka 34, tena anaishi Kongowe, Mbagala jijini Dar es Salaam, amefikishwa mahakamani akidaiwa kuipiga serikali ya...

READ MORE

NANI KASEMA USAWA MGUMU… TAJIRI AMWAGA FEDHA UKUMBINI

WEWE endelea kulialia, oooh usawa mgumu, vyuma vimekaza! Wenye shughuli zao wanapata fedha hadi za kumwaga ukumbini na kuwashughulisha watu...

READ MORE

Tanzania Yatajwa Kwenye Orodha ya Nchi Zenye Mishahara Mikubwa Afrika

Shirika la Numbeo limetoa orodha ya nchi kumi zenye mishahara mikubwa zaidi barani Afrika. Hili ni shirika kubwa zaidi duniani la...

READ MORE