Wanaigeria Wachota Milioni Saba Simba SC
WAKATI Simba ikiwa imeondoka jana jioni kuelekea Nigeria, uongozi wa timu hiyo umebainisha umepata wakati mgumu wa kupata vibali vya kuingia kwenye nchi hiyo ‘visa’ kutokana na kupanda bei ghafla.
Simba imeelekea katika…
