Wafanyabiashara Wajazwa Mamilioni kwa Kufanya Miamala
Kampuni ya Selcom kwa kushirikiana na Mastercard imetoa zawadi ya Sh milioni tatu kwa wafanyabiashara wanaotumia huduma ya Masterpass QR katika kupokea malipo mbalimbali kwenye maeneo yao ya biashara.
Zawadi hizo zimetolewa jana…
