×

Tag: radi

Radi Yaua Watu 20 kwa Muda wa Masaa 24 Kwenye Miji Mbalimbali Nchini India

NCHINI India imeripotiwa vifo vya watu 20 waliouawa na radi ikiwa ni ndani ya masaa 24 katika miji nane iliyo...

READ MORE

Radi Yaua Wanne Mbeya

WATU wanne wamefariki dunia papo hapo na mwingine kujeruhiwa baada ya kupigwa na radi wakati wakichimba kaburi katika Wilaya ya...

READ MORE

Radi Yauwa Watano Kigoma

WATU watano wakiwemo watoto wanne waliokuwa wakicheza chini ya mti wakati mvua ikinyesha wamepoteza maisha kwa kupigwa na radi katika...

READ MORE

Afariki Kwa Kupigwa na Radi Akizini na Mchepuko

Mkazi wa Kijiji cha Masweya Kata ya Mtunduru Wilaya ya Ikungi, Vaileth Hassan Mtipa (32) amefariki dunia baada ya kupigwa...

READ MORE

Radi Yajeruhi Wanafunzi 16 Geita – Video

Wanafunzi 16 wa shule ya Sekondari Rwezela iliyopo Kata ya Nzera mkoani Geita, wamenusurika kifo baada ya kujeruhiwa kwa kupigwa...

READ MORE

Bwana Harusi na Wageni Wake Wauawa na Radi

Radi nchini Bangladesh imewapiga na kuwaua wageni 17 waliohudhuria sherehe ya harusi moja nchini humo. Watu 14 wengine ikiwemo bwanaharusi ,...

READ MORE

Radi Yaua Watu 11 Wakijipiga Selfie

WATU takribani 11 wamefariki dunia hapo jana Kaskazini mwa nchi ya India baada ya kupigwa na radi wakati wakijipiga picha...

READ MORE

Mwanafunzi Form IV Afariki kwa Kupigwa na Radi

Mwanafunzi wa kidato cha nne wa shule ya sekondari Kabugalo iliyopo Bukoba mkoani Kagera Gisera Oswardi (18) amefariki dunia kwa...

READ MORE

Radi Yaua Mahabusu, Yajeruhi Wafungwa Wanne – Video

Mahabusu mmoja wa kesi ya mauaji, Mussa Haji (25), kabila Mkurya, amefariki dunia baada ya kupigwa na radi katika Gereza...

READ MORE

Auawa kwa Radi Akinyolewa Saluni Njombe

MARTIN NYIGU (35) mkazi wa kijiji cha Lusitu, kata ya Luponde, halmashauri ya mji wa Njombe mkoani Njombe,  amefariki dunia...

READ MORE

Ndege Yapigwa Radi Ikiwa Angani

NDEGE ya Proflight ikiwa na abiria 41 juzi ilifanikiwa kutua salama jijini Lusaka nchini Zambia baada kupigwa na radi na...

READ MORE

Wanafunzi 39 Wanusurika Kufa kwa Radi Geita

WANAFUNZI 39 wa darasa la nne katika Shule ya Msingi Ihumilo kata ya Nkome Wilayani Geita wamenusurika kufa kwa radi...

READ MORE

Taharuki! Radi Ilivyoua Ng’ombe 22 – Pichaz

  NG’OMBE wapatao 22 wenye thamani ya Tsh.Million 12 wamekufa baada ya kupigwa na radi katika Kijiji cha Kaziramihunda, Wilaya...

READ MORE

RADI YAPENYA CHUMBANI, YAUA MAMA NA MWANAYE, WATU 6 HOI

NI simanzi kuu! Ndivyo unavyoweza kusema kufuatia familia ya Mbwana Said, mkazi wa Kimanzichana wilayani Mkuranga, Mkoa wa Pwani kukumbwa...

READ MORE

Breaking: Watoto 6 Wafariki kwa Radi, 25 Wajeruhiwa Geita

TAARIFA zilizotufikia hivi punde zinaeleza wanafunzi sita wa Shule ya Msingi ya Emaco Vision English Medium ya mjini Geita wamefariki dunia leo...

READ MORE