Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli, yupo ziarani mkoani Kagera ambapo mbai na mambo mengine, atazindua uwanja wa ndege wa Kagera.
Rais Dk John Pombe Magufuli.
Gabriel Ng’osha
WAKATI Rais John Pombe Magufuli akitegemewa kutangaza Baraza la Mawaziri wakati wowote kuanzia sasa, matumbo ya wabunge yamepata moto wakijiuliza kama watawezana na kasi yake endapo watateuliwa…