Vijana Waliomaliza Kidato cha Sita 2022, Waitwa Kujiunga na JKT kwa Mujibu wa Sheria(PICHA+VIDEO)
JESHI la Kujenga Taifa (JKT) limewaita vijna waliohitimu elimu ya Sekondari kidato cha sita kwa mwaka 2022 kutoka shule zote za sekondari Tanzania Bara kuhudhuria mafunzo ya JKT kwa mujibu wa sheria kuanzia tarehe 3 Juni 2022 na mwisho…
