
Browsing Tag
Ray
Ray Alia na Waziri Mwakyembe
STAA wa filamu za Kibongo, Vincent Kigosi ‘Ray’ amelia na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo nchini, Dk Harrison Mwakyembe katika kusimamia Sera ya Filamu.
Akizungumza na Gazeti la IJUMAA WIKIENDA, Ray amemlilia…
Ray: Chuchu Ana Wivu Sana
STAA kunako Bongo Movies, Vincent Kigosi ‘Ray’ amefunguka kuwa mzazi mwenziye Chuchu Hans ni mwanamke mwenye wivu sana.
Akizungumza na Mikito Nusunusu, Ray alisema Chuchu ni mwanamke ambaye ana wivu wa kupitiliza.
…
Chuchu: Jaden Anapenda Kulipuka!
MSANII kunako Bongo Movie, Chuchu Hans amefunguka kuwa mwanaye ambaye amezaa na muigizaji mwenziye Vincent Kigosi ‘Ray’ anapenda sana kuvaa na kupendeza (kulipuka).
Akizungumza na Risasi Vibes, Chuchu amesema…
MAMA KANUMBA: RAY TUNAPISHANA, LULU HATUJAONGEA MIAKA 5 – VIDEO
MAMA wa aliyekuwa muigizaji wa Bongo Movies, marehemu Steven Kanumba, Bi. Flora Mtegoa, amefunguka kuhusu uhusiano wake kwa sasa na waliokuwa maafiki wa mwanaye wakiwemo ni Vincent Kigosi 'Ray' na Elizabeth Michael 'Lulu'.
…
CHUCHU NA AUNT WAPEWE TUZO ZA KUTENDWA
ANASEMAJE? Mwanamama anayefanya poa kunako Bongo Muvi, Chuchu Hans amesema yeye na mwigizaji mwenzake, Aunt Ezekiel wanastahili tuzo kutokana na maumivu ya kuumizwa na wenza wao.
Chuchu aliliambia Gazeti la Ijumaa kuwa, mara…
Chuchu: Mimi na Frank imebaki stori
STAA wa filamu za Kibongo, Chuchu Hans ambaye ni mzazi mwenziye na muigizaji wa kiume Vincent Kigosi ‘Ray’ amedai kuwa yeye na mzazi mwenzake Frank Mtao imebaki stori tu hivyo watu wasimhusishe naye.
Akizungumza na Ijumaa…
RAY, KANUMBA WALIVYONOGESHA BONGO MUVI!
MIAKA ya 2010 na kuendelea, Bongo Muvi ndiyo ilishika kasi. Kama gari unaweza kusema ndiyo lilikuwa limewaka. Hiyo ni baada ya vijana wapiganaji, Vincent Kigosi ‘Ray’ na marehemu Steven Kanumba (Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi)…
CHUCHU: NILISHTUKA KUAMBIWA RAY ANANGOMA
MSANII wa ‘long time’ kwenye ‘game’ la filamu Bongo, Chuchu Hancy amefunguka kuwa hatasahau maneno aliyokuwa akiambiwa pindi alipokuwa na ujauzito wa mtoto wake Jaden kwamba ana ngoma kwa kuwa eti amepewa mimba na mwanaume ambaye…
RAY: NISINGEFANANA NA JADEN, NINGEPATA TABU SANA!
LEGENDARI wa sinema za Kibongo, Vincent Kigosi ‘Ray’ amefunguka kuwa asingefanana na mwanaye aitwaye Jaden, angetukanwa sana.Akizungumza na Amani juzikati, Ray alisema, anamshukuru Mungu kwa kupata mtoto wa kufanana naye kwani…
Chuchu Atema Nyongo Kuwa na Ray Ramadhani
MUIGIZAJI wa kitambo Bongo Muvi, Chuchu Hans amefunguka kuwa watu wanaomhukumu kuwa anakosea kuwa karibu na mzazi mwenziye ambaye ni muigizaji pia, Vincent Kigosi ‘Ray’ wakati huu wa mfungo wa Ramadhani na yeye ni Muislamu waache kwani…
Johari Abariki Ndoa ya Ray na Chuchu
MKONGWE wa sinema za Kibongo, Blandina Chagula ‘Johari’ amefunguka kuwa hakuna kitu kitakachomfurahisha kama mwigizaji mwenzake, Vincent Kigosi ‘Ray’ akimuoa mzazi mwenziye, Chuchu Hans.
Akizungumza na Over Ze Weekend, Johari…
RAY kwa Mwanaye Humwambii kitu!
LEGENDARI wa sinema za Kibongo, Vincent Kigosi ‘Ray’ amefunguka kuwa tangu amekuwa baba, ratiba yake ya kurudi nyumbani imebadilika tofauti na miaka ya nyuma alipokuwa anarudi muda wowote anaotaka. Akizungumza na Amani hivi karibuni,…
Ray, JB kupima uzito kesho kabla ya kupasuana
WAKALI wa filamu nchini, Vicent Kigosi ‘Ray’ na Jacob Stephen ‘JB’ wanatarajia kupima uzito kesho Jumamosi tayari kwa pambano lao la kukata na shoka linalotarajia kufanyika Aprili Mosi, mwaka huu (Sikukuu ya Pasaka) kwenye Uwanja…
PAMBANO LA RAY NA JB LAZIDI KUTIKISA
WASANII wa filamu nchini, Vincent Kigosi 'Ray' na Jacob Steven ‘Jay B’ wanaotarajiwa kuzichapa katika pambano la ndondi linalotarajiwa kufanyika mkoani Morogoro siku ya Pasaka, jana waliendelea kutambiana wakati wakizungumza na…
Ray Ammwagia Misifa Kibao Chuchu Hans
LEJENDARI wa sinema za Kibongo, Vincent Kigosi ‘Ray’ amemwaga sifa nyingi kwa mzazi mwenziye, Chuchu Hans, kwa kusema kuwa ni mama bora anayejua kumlea vziuri mtoto wao, Jaden.
Akizungumza na gazeti hili, Ray alisema kuwa, Chuchu…
Ray, JB Waapa Kutoana Meno Pasaka!
WAKALI wa filamu za kibongo nchini, Vicent Kigosi 'Ray' na Jacob Stephen 'JB' wameapa kupasuana vilivilivyo katika pambano la raundi nane ambalo siyo la ubingwa lilipangwa kufanyika usiku wa pasaka kwenye Uwanja wa Jamhuri Morogoro.…
MTOTO WA RAY ALAMBA SHAVU NMB
MTOTO wa Staa wa Filamu Bongo, Vicent Kigosi ‘Ray’, aitwaye Jaden Kigosi, amepata shavu kutoka kwa wazazi wake baada ya kumfungulia akaunti ya 'NMB Mtoto Akaunti' kwa ajili ya akiba itakayoweza kumsaidia hapo baadaye.…
Chuchu: Siwezi Kuzaa Tena na Ray
UKITAJA ‘kapo’ za mastaa ambao wamefanikiwa kuwa kwenye uhusiano na kubarikiwa kupata watoto wakiwa pamoja, huwezi kuacha kuwataja mastaa wakubwa wa sinema za Kibongo, Vincent Kigosi ‘Ray’ na Chuchu Hans.
Wawili hawa ni kapo ambayo…
Chuchu Afungukia Kumtoboa Sikio Mtoto
MUIGIZAJI wa sinema za Kibongo, Chuchu Hans amefungukia madai ya kumtoboa sikio mtoto wao wa kiume Jaden mwenye umri wa mwaka mmoja akidai kuwa suala hilo limepokelewa ndivyo sivyo.
Akizungumza na gazeti hili, Chuchu alisema…
RAY AJITOLEA MAISHA KWA MWANAYE
MWIGIZAJI wa kiume wa Bongo Movies, Vincent Kigosi ‘Ray’ amefunguka kuwa, mwanaye aliyezaa na mwigizaji Chuchu Hans aitwaye Jaden amekuwa ndiye maisha yake kwa sababu sasa kila anachokifanya ni kwa ajili yake na amembadilisha…
Chuchu: Kubadilisha Jina Sio Kumuacha Ray
MSANII wa filamu za Kibongo, Chuchu Hans ameibuka na kusema kuwa tetesi zilizozagaa akidaiwa kuachana na mzazi mwenziye Vincent Kigosi ‘Ray’ na kwamba ndiyo sababu ya kubadili jina lake kwenye ukurasa wake wa Instagram siyo za kweli.…
Ramsey Alivyowalipua Ray, Wema!
STAA wa sinema za Nigeria (Nollywood), Ramsey Nouah amewalipua waigizaji wa filamu za Kibongo kwa kushindwa kuendeleza sanaa hiyo kwa kiwango alichoishia marehemu Steven Kanumba huku akilizungumzia kaburi la staa huyo, Ijumaa Wikienda…
Ray: Okwi Anazifunga Timu Ndogo Tu
MSANII wa Bongo Movie’s, Vincent Kigosi ‘Ray’ amewaambia mashabiki wenzake wa Yanga kuwa, wasihofi e mabao ya Emmanuel Okwi wa Simba, kwani huwa anazifunga timu ndogo tu. Yanga leo Jumamosi inacheza na Simba kwenye Uwanja wa Uhuru, Dar…
Adamu Kuambiana Ashtuka Ray Kuzaa na Chuchu Hans
MPENZI msomaji, hii ni kolamu mpya ya kiburudani lakini ndani yake kuna ujumbe wenye kugusa jamii. Ni kona ya kufikirika.
Wapo watu ambao walishatangulia mbele ya haki lakini endapo kama wangekuwa hai kuna vitu vikubwa zaidi…
Chuchu: Mimi na Ray Hakuna Anayewaza Ndoa
STAA wa kitambo wa Bongo Movies, Chuchu Hans amefunguka kuwa, baada kupata mtoto aitwaye Jaden na staa mwenzake, Vincent Kigosi ‘Ray’, kwa sasa hakuna anayewazia ndoa kati yao, badala yake kila mmoja anafikiria kuhusu malezi ya uzao wao…
JB, Ray, Rich Wabanwa Kuhongwa Viwanja
STORI: GLADNESS MALLYA NA ERICK EVARIST | RISASI MCHANGANYIKO
DAR ES SALAAM: Baada ya kuwepo kwa madai kuwa mastaa wa filamu Bongo, Jacob Steven (JB), Single Mtambalike (Rich) na Vincent Kigosi (Ray) walihongwa fedha na viwanja ili…
Wasiposhtuka… Naliona Kaburi la Bongo Fleva Kama Bongo Muvi
Ommy Dimpoz
SIFAEL PAUL| IJUMAA WIKIENDA | OVER THE WEEKEND
SEHEMU yoyote kunapokuwa na ushindani, kunakuwa na maendeleo chanya. Kila mtu hujaribu kufanya mambo ‘unique’ ili kumfanya kuwa na mvuto zaidi kwa kile anachokifanya. Lengo…
Ray Kigosi Afunguka Mazito Kuhusu Kanumba, Diamond na Freemasons
Msanii wa filamu nchini Ray Kigosi amefunguka na kusema kuwa baadhi wa Watanzania ni wanafiki na wamekuwa wakikatisha tamaa watu katika mambo yao kutokana na unafiki wao.
Ray Kigosi amesema hayo kupitia ukurasa wake wa Instgram na kusema…
Bodi Ya Filamu ni Jipu
MAKALA NA: BONIFACE NGUMIJE | IJUMAA WIOKIENDA
DAR ES SALAAM: Mwaka 2016, Bodi ya Filamu Tanzania iliongezewa majukumu rasmi na Serikali. Tofauti na kipindi cha nyuma ilipokuwa na kazi ya kuzipa madaraja filamu na kukagua…
Mgongano Huu Bongo Muvi ni Kaburi Jipya
MAKALA: ALLY KATALAMBULA | IJUMAA WIKIENDA | OVER THE WEEKEND
DAR ES SALAAM: Aprili 19, mwaka huu, baadhi ya mastaa wa Bongo Muvi, waliandamana kupinga wizi wa kazi zao na uingizwaji holela wa filamu za nje ambazo huuzwa kwa bei…
Ray, Mama Kanumba Kimenuka
Na MWANDISHI WETU/GPL
DAR ES SALAAM: Mama mzazi wa aliyekuwa nyota wa filamu bongo, marehemu Steven Kanumba, Flora Mtegoa siku ya kumbukumbu ya mwanaye makaburini Kinondoni, alimfyatukia msanii wa filamu nchini, Vincent Kigosi…
RAY: Ningeteuliwa Waziri Ningeanza Kuwachuja Wasanii
MKONGWE wa filamu Nchini, Vicent Kigosi ‘Ray’, amefunguka kuwa kama angeteuliwa kuwa Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, angeanzisha mpango maalumu wa kuwachuja wasanii.
Akiongea na +225 Kipindi cha XXL cha Clouds Fm amedai kuwa…
Johari, Chuchu Kimenuka Tena!
Na Mwandishi Wetu | RISASI JUMAMOSI | DAR ES SALAAM
Warembo wa Bongo Movies, Blandina Chagula ‘Johari’ na Chuchu Hans wamedaiwa kuwa wametibuana vibaya kufuatia Chuchu kumchokonoa Johari mitandaoni kuhusu jina la Kampuni ya RJ,…
Chuchu: Mtoto Ameongeza Mahaba kwa ‘Baby’
STORI: IMELDA MTEMA | RISASI
MUIGIZAJI wa sinema za Kibongo, Chuchu Hans ambaye hivi karibuni alijifungua mtoto wa kiume (Jayden), amesema mtoto huyo ameboresha mahaba niue kwa mpenzi wake, Vincent Kigosi ‘Ray’.
Akizungumza na Mikito…
Ray, Millard Ayo, Ruby kujiunga na Shtuka Mapema
Mastaa kibao wakiwemo, Mtangazaji Millard Ayo, Mwanamuziki, Hellen George ‘Ruby’, Muigizaji Vincent Kigosi ‘Ray’ na wengine kibao wanatarajiwa kujiunga na Kampeni ya Mimi ni Nani? Shtuka Mapema inayotarajiwa kufanyika Aprili 3, mwaka huu…
Ray: Nilishawahi kumuokoa Nay wa Mitego asipigwe
STAA wa Bongo Movie, Vincent Kigosi ‘Ray’ kwa mara nyingine ameendelea kuteka ‘headlines’ baada ya kuibuka na kudai kuwa alishawahi kumuokoa staa wa Bongo Fleva, Nay wa Mitego asipigwe.
Akizungumza asubuhi hii katika kipindi cha Leo…
Penzi la Ray, Chuchu… chali
Brighton Masalu
DAH! Imebuma! Lile penzi lililoziba masikio ya wengi kati ya waigizaji wakubwa Bongo, Vincent Kigosi ‘Ray’ na Chuchu Hans linadaiwa kuanguka chali kufuatia mume wa mwanamke huyo kutua nchini kimyakimya na hivyo kuwa wigo…